Binti wa miaka 14 atoweka nyumbani.

Binti wa miaka 14 atoweka nyumbani.

Dushelele aai dushelele ai dusheleelee..
Mkuu naimba tu
 
Pole sana
Hata mimi na dada na mazingara kama haya yalitokea....
Conclusion : kwanza Tell her close friends to advise her, pili mwacheni ajifunze kwa miezi kama mitatu inatosha atarudi nyumbani mwenyewe

Ps Akiwa huko, jaribu kuwe na mtu wakupata habari zake about her security ila msimwingilie, with time she'll learn from experience.....
 
Muozesheni akikataa muacheni kwani umri aliofikia ni wa kuchagua maisha ayatakayo.
 
ease biz wewe mtafute huyo mchambake wa kusadikika halafu mumpeleke polisi huyo mchambake halafu iko kibinti kipelekeni rehab kikapate ushauri wa nasaha kabla akijawa kijeuri zaidi ya hapo..
 
Back
Top Bottom