Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 452
Habari zenu wana JF.
Heri ya Xmass na maandalizi mema ya kuukaribisha mwka mpya.
Familia inaomba ushauri wenu.
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wenu wa mawazo, nina mdogo wangu wa kike ana miaka 14 amemaliza class 7 mwaka huu, tayari kashavunja ungo.
Huyu binti kawa mapepe sana baada ya kuonja asali ya duniani. Kuanzia jumamosi ya tarehe 22 awetoweka nyumbani na kukimbilia kusikojulikana lakini nimejaribu kuuliza marafiki zake wanasema kaenda kwa mchumba wake. Mpaka sasa hajarudi nyumbani licha ya kumtafuta kwa uwezo wetu na kuwauliza wanafamily wengineo wanasema hawajamwona.
Awali ya yote kabisa huyu binti mwezi wa 10 tulipata kusikia kuwa ni mjamzito wa miezi miwili na akafanikiwa kutoa hiyo mimba.
Tuko katika taharuki kubwa kutaka kujua huyu binti kaelekea wapi? nani anayemdanganya?
Wasichana wa kileo jamani sijui wapi wanaelekea na hii dunia.
Mwenyezi mungu awanusuru
Heri ya Xmass na maandalizi mema ya kuukaribisha mwka mpya.
Familia inaomba ushauri wenu.
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wenu wa mawazo, nina mdogo wangu wa kike ana miaka 14 amemaliza class 7 mwaka huu, tayari kashavunja ungo.
Huyu binti kawa mapepe sana baada ya kuonja asali ya duniani. Kuanzia jumamosi ya tarehe 22 awetoweka nyumbani na kukimbilia kusikojulikana lakini nimejaribu kuuliza marafiki zake wanasema kaenda kwa mchumba wake. Mpaka sasa hajarudi nyumbani licha ya kumtafuta kwa uwezo wetu na kuwauliza wanafamily wengineo wanasema hawajamwona.
Awali ya yote kabisa huyu binti mwezi wa 10 tulipata kusikia kuwa ni mjamzito wa miezi miwili na akafanikiwa kutoa hiyo mimba.
Tuko katika taharuki kubwa kutaka kujua huyu binti kaelekea wapi? nani anayemdanganya?
Wasichana wa kileo jamani sijui wapi wanaelekea na hii dunia.
Mwenyezi mungu awanusuru