chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
We pale Horohoro umepitaje wakati mpaka umefungwa
Aisee na kwenye mambo ya kufungwa imekaajewe mtu wa mombassa sheikh, au mi nimeishi tanga miaka 3 hivi.
watu wa tanga wako hivi kwanza wengi waislamu kwa dini na wanaishi kindugu sana binti yao akiolewa lazima wajue hasa kama anaishi kwao,
Wapo serious kwenye mazungumzo ni waongeaji sasa ukisema unamtaka huyo binti basi wanakupa kwa masharti ukakae nae na waje kwako kufanya sherehe kiufupi wanapenda sherehe sana wapo radhi wakae sehemu penye ubwabwa.
ukiwa vizuri kipesa jiandae kupata ndugu wengi unapoishi karibu nao, labda uchukue binti ukae nae mbali kidogo wasieze kufika unapokaa maana kama panafikika kwa mguu au kwa baiskeli aiseee brother utapata ugenii hadi utachukia, maana baiskeli zitakufuata mlangoni mpaka
wanapenda mteremko wakike kwa wakiume wanaka uvivu fulani tunaita umwinyi,
mtoto wa kike kuna muda usipo msemesha anakuona wewe boya kwahiyo kuwa mkali kwa kumfunza kiislamu akuheshimu bila hivo atakukudharau, usipoonyesha uanaume wako huwezi ishi naye akakupenda lazima ataliwa kirahisi, ataambia men mwngine nataka hogo lako waweza nipa vizuri maana mie najilia mwenyewe.
inategemea na mwenendo wake na atavokuona ulivo ngoja nikupe siri ukitaka asikufunge basi usiruhusu sana akae na ndugu zake au mashoga zake kila mara lakini sijasema asiwe nao lakini isiwe too much yuko nao.Aisee na kwenye mambo ya kufungwa imekaaje
Utaoaje muislam wakati wewe ni mkristo huoni kuna utofauti hapo mkuuhuu mtihani wa kuoa Tanga kwangu naeza sema ni mwepesi kama nitapata mwanamke mwenye ustaarabu anayejua kuswali hasa na kama mkiristo kama mimi imuonage pale chumbageni au st nini sijui panaitwa kanisa la mashahidi wa uganda, tanga nimepamisi mnoo.....
nimekupa ushauri tu mkuu ukichukia poa tu, kwani nini naoa muislamu fresh maana najua twachukiana dini ila ikibidi nitakuwa muislamuUtaoaje muislam wakati wewe ni mkristo huoni kuna utofauti hapo mkuu
napenda nioe muislamu lakini brohUtaoaje muislam wakati wewe ni mkristo huoni kuna utofauti hapo mkuu
poa piaNdoa ya bomani
Teh teh teh mkuu jamaa ako kaishia wapi huyo??@fisadiKuu aje aendeleze ushauri
Wewe ni Mndengereko wa Kibiti. Kilifi hatuna tatizo la LA na RA.Kwanini nijipeleke wakati sina uhakika huoni itakuwa mushkiri
Less than a week unaenda kwao? Karibu Tanga wenzio tukipata nauli tumekula zawadi na tukipata zawadi nauli hakuna..Habari za Leo wanaJamiiForums wote na poleni kwa majukumu ya kilasiku ya kutafuta kipato.
Niende kwenye mada moja kwa moja kiufupi mimi ni mpita njia nimetokea maeneo ya kilifi Kenya kuja Tanzania kutafuta fursa mbili tatu za kimaisha na malengo yangu binafsi zaidi ni kufika jiji kubwa la Dar es Salaam, nimepitia njia ya tanga na nikaona sio mbaya nikae siku mbili hapa tanga ili niangalie mazingira ya hapa kwa ujumla.
Kwakweli nilivutiwa na life style ya watu wa huku kuanzia kwenye ukarimu wao na maisha yao kwa ujumla wanavoishi. Katika siku mbili hizo nikakutana na binti mmoja mkarimu sana ambaye ndio alikuwa ananielekeza baadhi ya sehemu za huku na alinitambulisha kuwa yeye kabila lake ni zigua.
Basi nikapanga niongeze siku mbili zingine za kukaa huku kwa maana nizidi kutembelea sehemu nyingi zaidi, hizo siku nne za kuwa huku ziliisha jana lakini nikaona sio mbaya niongeze mbili zingine ambapo leo na kesho, sasa huyu binti kaniambia kwakuwa nitaondoka kesho kutwa basi sio mbaya nikaenda nae kwao ambapo ni nje kidogo ya mji kwa siku ya kesho halafu ndio niondoke.
Kusema kweli kwa ukarimu alionionesha tangu siku ya kwanza hapa nilishindwa kumpa jibu la haraka nikasema basi anipe muda halafu nitamjibu
Sasa wanajukwaa naomba ushauri wenu vipi nimkubalie kwenda kwao au vipi kwa maana mimi ni mgeni na sijui vizuri utaratibu wa maisha ya watu wa huku vizuri.
Nilikuwa naomba ushauri wenu wanajukwaa.
Asanteni!