kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,964
Aga kabisa kwenu kilifi maana kuondoka itakuwa majaliwa
Life style ya Pwan kuona wanawake wakipita na madera tako likinesa nesa, ukiomba papa ata kama huna pesa uswazi unakula papa kama kawa, vitu vya mahitaji virahisi kupatkana alaf sasa na michezo ya kufungwa usirud kwenu maana wanapenda wageni sana sababu ni watafutaji wanajua akikupata hata laa njaa tofaut na wazawa wa hapo kaz zao zimeshazoeleka.Why nipe maelezo kidogo
Sasa nakutishaje mkuu, hao watu niwakarim Sana , ukizubaa unanogewa unabaki hapo hapoMbona unanitisha mkuu
Hapo kwenye kufungwa ndo sijaelewa mkuuLife style ya Pwan kuona wanawake wakipita na madera tako likinesa nesa, ukiomba papa ata kama huna pesa uswazi unakula papa kama kawa, vitu vya mahitaji virahisi kupatkana alaf sasa na michezo ya kufungwa usirud kwenu maana wanapenda wageni sana sababu ni watafutaji wanajua akikupata hata laa njaa tofaut na wazawa wa hapo kaz zao zimeshazoeleka.
Bado niendelee boss au akili zimeanza kukaa sawa? Subiria Dushe lianze kupakwa asali alaf linanyonywa maji ya kuoga bafuni yamepuliziwa mpaka udi au ubani na viungo nakshi vya kunukia ukitoka hapo hadi Mbupu zinanukia.
Mkuu niendelee au maana ukishafikia hayo Maelekezo nliyosema hapo juu ww kwenu hutataka kupaskia ata simu utakuwa hupokei..
Hapana hili limetokea tu kwa dharuraNaona zile opportunities ulizozungumzia hapa chini zimeshaanza kupatikana.
Hatimaye nimefika Tanzania. Haya ndio niliyojionea mpaka dakika hii
Yan huyo mwanamke akikwambia chochote unaeza ukambishia ila baadae unarud kweny mstar anaoutaka yeye na mara nyng watumia chakula au mapenzi kukunogesha. Wengine wanatumia midawa ya waganga kukufanya kama zoba umskilize anachotakaHapo kwenye kufungwa ndo sijaelewa mkuu
@fisadiKuu aje aendeleze ushauriIshaisha mkuu
Tanzania Hatuulizani Makabila MkuuWewe ni mzigua pia
Aisee kwahiyo iyo kitu ndo wanayo sana watu wa huku auYan huyo mwanamke akikwambia chochote unaeza ukambishia ila baadae unarud kweny mstar anaoutaka yeye na mara nyng watumia chakula au mapenzi kukunogesha. Wengine wanatumia midawa ya waganga kukufanya kama zoba umskilize anachotaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nimepata funzo kidogoNimecheka Sana Jinsi Shemeji yetu Mkenya Alivyo Serious Kukuona huko KWEDIBOMA KWEDIKWAZU SINDENI.
Shemeji nikuambie kitu,wazigua ni watu WAKARIMU SANA....
Hawapendi dharau hata KIDOGO.....
Ukitaka kumtafuta muhali mzigua basi mzingue....
Ni watu wanaopenda kumaliza mambo haraka kwa njia ya mazungumzo,wako STRAIGHT,hawana konakona......
NI watu makini wanaochunguza na kutafakari kila NENO utakalonena kinywani mwako......
Wazigua kama Jamii ya Makabila Yaliyotokea Morogoro(wasambaa,wabondei,wazaramo) huamini na kuyaishi MAISHA ya UGANGA WA KIENYEJI......
Wazigua wengi wanaamini sana kwenye Mambo ya JADI yaani MIKOBA...
MIKOBA hiyo hurithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine...
Hali hii huifanya kila femili kuwa angalau na mtu mmoja GWIJI wa elimu hiyo ya "yasiyoonekana" na hapa tafadhali usiite ni UCHAWI,kwani utakuwa unakosea.......
Wewe unatakiwa useme ni ELIMU tu na matumizi yake hulingana na lengo la mwenye hiyo elimu......
Ni sawa na Askari mwenye Silaha.......anatulinda ila akiwa kinyume chake Hali inaweza kutabirika
All and all watoto wa kike wa kizigua wana unyenyekevu mkubwa na kujitoa haswa kimapenzi kwa waume zao.Wanathamini Sana mahitaji ya waume zao kihisia,kimwili na kihali.
Mengine jiongeze mwenyewe kwani hayana tofauti na sisi WAAFRIKA wote.
🤝🤝Asante nimepata funzo kidogo
SanaaaWanajua kuhabatika ila usiombe kuchanganyiwa!