kuchanganyiwa na nini tena...?Wanajua kuhabatika ila usiombe kuchanganyiwa!
Kama mnapendana mwambie akupele kama mpenzi mwenye matajio ya uchumba hapo kuna faida utaipata.Kwa sababu amependa tu niende kwao nikapajue
Kujua utaratibu wa kumchumbia utaambiwa na familia yake alafu itakujengeni imani na uaminifu na mengine mf wa hayo!Faida gani
Usijikatishe tamaa mapema, kama hutomuoa hayo ni matokeo si yakuyawaza sasa hivi.Itakuwaje kama nisipomuoa
Jiandae kuokota makopo ...Itakuwaje kama nisipomuoa
Kama huna uhakika ni sawa.Kwanini nijipeleke wakati sina uhakika huoni itakuwa mushkiri