Haifai hiyo mkuusawa tu....huoni unakua umesaidia wengi kwa wakati mmoja
Basi na wewe usikute kuna sehemu wako ana mhelp ku make money. Ukimpa anaenda kuingiza kwenye idea ya mwenzio
Mtu na kaka'kemmmhu basi pia usikute kuna sehem anaSpend za mtu bila kutafuta
aisee life haipo fair kabisa
Baki na hamu zako
Shemejiii,hebu niambieHaifai hiyo mkuu
Mwanamke hata idea tuu ya kuboresha biashara yako hajawahi kukupa ana spend hela zako za nini. Ntaongea na mumu bas asi spend tuu
tuacheeeHaifai hiyo mkuu
Mwanamke hata idea tuu ya kuboresha biashara yako hajawahi kukupa ana spend hela zako za nini. Ntaongea na mumu bas asi spend tuu
Na wewe kama financially upo hovyo tulia au nenda kwa ambae unahisi kabisa hayupo hivyo. Tatizo lenu mnapenda maslay queen kutwa kujishebedua unategemea usipigwe mizinga ya kijinga?Romance can wait. Older people used to say, "Romance not going anywhere, it is not running away" and if it could be finished it would be done before you were born. So, if you are convinced that you’ve found the one and there is a financial challenge, you can put the romance on hold and sort out yourself. What I am really saying right now is this — if you are thinking romance and there is no finance, think twice!
Bro amesema nikuache atiShemejiii,hebu niambie
Naonaaa shem
Tuna enjoy tuu
Wapi?
Basi mi naenda
Gudi moningi Madam
MmmhhBro amesema nikuache ati
Morning to you MillerGudi moningi Madam