ujitoa ufahamu tu. unajua wanawake tunatabia ya ushindani wa kipuuzi sana akiona wewe bf wako anakuceat ana cheat naye anajiona tu wa gharama kumbe hakuna lolote.. kuzaa na mume wa mtu ni sawa na kuweka kitanzi shingoni huku ukijipa moyo akiwezi nikabaHivi mtu unajijua ni mchepuko unaanzaje kuzaa na mume wa mtu ili tu umvute awe karibu?
Unanikumbusha kisa kimoja, kuna mchepuko ulizaa na huyo kaka baadae mkewe akajua, mke akaleta sana vurugu akitaka asamehe basi mume awaandike mali zote watoto. Mwanaume akakubali,baada ya miezi 6 yule kaka alifariki kwa ajali ya kutatanisha. Yule mchepuko kabaki tu anaangaika na mtoto maana hakua na kazi, na huyu mama mpaka leo analea watoto wake na hataki hata kumsikia yule binti
Wanaume tulieni na wake zenu haijalishi mnapitia mapito gani kwenye ndoa yenu...tafuta jinsi ya kutatua hizo changamoto na sio kuongeza matatizo.
real?Only those who are ready to become nobodies are able to love. Human being can't love
na unatumia akili nyingi kwenye jambo la kifala si umkatie simu na umwambie nipo na wifeMiss chaga umenichekesha hapo ulipo Sema.. Ni ufala kutoka room kwenda nje kisa tu Unaogopa.. Huo ni ufala kweli.. Nime fikiria nimeona ni ufala kweli.
sikuweka hizo wameshazoea kusikiaNaamin wadada wenye tabia hiyo watakua wameelewa na pia wachepukaji wanaume wenye ndoa zao pia namin watakua wameelewa lakin kama itaingilia sikio la kulia litokee kushoto bas pole zao...
Na pia umesahau kuongelea risk ya magonjwa ya ngono kama ukimwi, kaswende,kisonono, na mengine ya aina hio.
Point........oooh nimemwacha boyfriend wangu kisa huyu ha hahaha mume wa mtu ni wa mtu tafuta wako ….
KUCHEPUKA SIYO SULUU YA MATATIZO NDANI YA NYUMBA ZAIDI UNAONGEZA SOLVE HALAFU CHEPUKA KWA UTASHI WAKO TU…….
Niwatakie kila la kheri mjirekebishe .
Wanaakili finyu sana hapo utakuta ni pesa sio penzi na utakuta hawana elimu hata ya kutafuta kibaruaHivi unakubalije kuwa mchepuko...tena wa mume wa mtu...mh watu wana mioyooyani tupeane zamuu
ha hahaahaImbombo ngafu.
sababu unakuwa na imagination nyiiingiiiiiii kumbe kubwa kukojoa mengine mbwembweMichepuko haiwezi kuisha hasilani... Mbunye mpya huwa tamuu sana sijui kwanini?
Binti umewahi kuchepuka na mume ya mtu?ha hahaaha
kwa taarifa yako michepuko mingi ni wasomiWanaakili finyu sana hapo utakuta ni pesa sio penzi na utakuta hawana elimu hata ya kutafuta kibarua
mbona nimesema hapo juu kama mimi navyofanya jamani ... ila wenye mapesa mengi sitaki wenye viajira uchwaraBinti umewahi kuchepuka na mume ya mtu?
watu wanaoheshimika ndio wanapenda michepuko! Sidhani huyo atakakuwa ni mhuni tu... Me nilidhani watu wakimya ndio Wala nyama!simtaji anaheshimika sana
mkuu nikimtaja huwezi kuamini any way waache wapate funzoMe
watu wanaoheshimika ndio wanapenda michepuko! Me nilidhani watu wakimya ndio Wala nyama!
Mapesa mengi? ni kwanzia kiasi gani?mbona nimesema hapo juu kama mimi navyofanya jamani ... ila wenye mapesa mengi sitaki wenye viajira uchwara
Kwa iyo ata akifa humtaji kisa anaeshimikasimtaji anaheshimika sana
Some tyms unamkaza mkeo huku unavuta hisia za mtoto mmoja mkali anaekunyima mbunye yake. Siku akiingia kingi unaeza mkojolea hata goli nane .. Huu mchezo hautaki hasira!!sababu unakuwa na imagination nyiiingiiiiiii kumbe kubwa kukojoa mengine mbwembwe