Binti mchawi adondoka makaburini

Binti mchawi adondoka makaburini

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
Wakazi wa maeneo ya mjimwema makaburini mkoani Ruvuma wilaya ya songea mjini,usiku wa kuamkia leo wamekutana na kioja baada ya kumkuta binti akiwa uchi makaburini.baada ya kumuhoji kulikoni anacheza juu ya makaburi akaeleza alikuwa yeye na wenzake wakisafiri kwa njia ya anga.bahati mbaya akatoa mkono kuchungulia nje.kilichotokea akawa
IMG-20171121-WA0005.jpg
IMG-20171121-WA0004.jpg
IMG-20171121-WA0006.jpg
ametua makaburini
IMG-20171121-WA0007.jpg
 
Wakazi wa maeneo ya mjimwema makaburini mkoani Ruvuma wilaya ya songea mjini,usiku wa kuamkia leo wamekutana na kioja baada ya kumkuta binti akiwa uchi makaburini.baada ya kumuhoji kulikoni anacheza juu ya makaburi akaeleza alikuwa yeye na wenzake wakisafiri kwa njia ya anga.bahati mbaya akatoa mkono kuchungulia nje.kilichotokea akawaView attachment 634815View attachment 634816View attachment 634817 ametua makaburiniView attachment 634814

Asije akawa Chizi......akapewa kesi ya Uchawi na kuhatarisha maisha yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom