Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Sikia siku nyingine usikubali demu anaekutanguliza gesti itakula kwako afterall Leo umepata nyongeza ya ujuzi.
 
 

Hongera kwa machale,
Ungekuwa unameza diclopar muda huu.

Kamanda kumbe wewe ni mtaalamu,diclopar ya nin wakat angekua anavaa always tu ili asiaibike mbele ya watu na ndo angekua tayar mana jamaa wangemwagia ndan na kila muda ungekua unahisi panawasha tu kwa hiyo anahitaji kukunwa
 
Hivi seriously haya mambo yanatokeaga? How do you get laid just like that?

God must be so ashamed of us I swear. If we can just continue ----ing around anyhow then even beasts are better than us.

So sad.
 
Hizi habari nyingine ngumu kuamini,Timu weka picha inaweza kutusaidia
 
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!

yani kuanzia leo nimekoma kutangulia gesti!

next time tunasepa hand to hand, tena sim zinazimwa kabla, room number huambiwi kulaleki mpaka unafika ndani!

mkuu ungeliwa kabang kulaleki...
 
Subira,,, yani binadamu tungejifunza kuwa na subira shetani asingepata nafasi,, unamuona mdada unampenda unaonyesha nia yako akigoma,, let it go,, subiriii..ukilazimisha lazima ukumbane na balaa..hongera mkuu that was very close
 
Hiyo ni ishara kwamba uache uzinzi siku zako za malipo ya dhambi zipo karibu.
 

doh mkuu umenusurika "WANGEKUTOBOA UGALI" hao jamaa na kesho ungejikuta kwenye magazeti ya udaku (sijui OFM)
 
ha ha mkuu umeponea tundu la sindano kuliwa kabang, sijui angekuomba msamaha gani pole sana mkuu.
 
kaka wewe ni kicheche...nia yako si kupenda ni kukidhi matamanio yako tu....Jaribu kufikiri kwa kutumia kichwa cha juu sio cha chini...Kaka ukidiwa ata Vaseline inaweza kuokoa maisha yako...wengine majini sio watu....
 
babu unataka kunichosha eeh? unaona sawa kuwa kakutana na binti njiani, kapewa namba na next appointment anaenda gesti hausi kumngojea mdada na condom? kama kugonga ndio ujanja basi wa kiume basi hajakosea ila matapeli na walivyojaa mjini akae mguu sawa tu.
Kwani huyu dogo kakosea nini?

Na hata kama kakosea, adhabu aliyoandaliwa inalingana na kosa lake??
 
Stahili yako!!!
Bint unakutana nae Leo then kesho unaenda kumngoja guest house na condom unaandaa!!!
Acha tamaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…