Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,640
Hakuna mwanaume anaye kutongoza kwa mara ya kwanza lengo likawa ni ndoa!!
98.5% ya wanaume wote wanao kutongoza mara ya kwanza lengo lao huwa ni sex!!! kufikiria kukuoa na kuanza kukupenda kunakujaga baadaye sanaaa..
Unaweza ukaishi na mwanaume miaka miwili akawa bado hajakupemda kabisaa !!! akawa yupo na ww kwa ajili ya sex...tu.
unaaweza ukawa unajiachia kwake ukajua uko pekee yako kumbe muko kama sita!!
Ukijiachia sana kwa mwanaume kisa kakutongoza siku tatu, vitu anavyokuonyesha vya kukupigia simu mwanzoni na vile sijui vi pillow talk, monkey style, Z style , U style ukajiona ndio unapendwa hutaamini muujiza!!
tambua tu inachukua muda mrefu sana mwanaume kuanza kuwa committed na wewe na kukupenda kweli!!
Mwanaume ataanza kufikiria kukuoa akiona una kitu cha pekee hasa kuwa na msimamo wa kujilinda na kutetea Maadili yako.
Kila siku nawaambia Ngono kabla ya Ndoa ni adui wa ndoto zako za kuolewa.
Utavunja kiuno kwa kumpa Ngono na bado utaambulia patupu!!
Nadhani nimesikika au niweke loudspeaker !?
98.5% ya wanaume wote wanao kutongoza mara ya kwanza lengo lao huwa ni sex!!! kufikiria kukuoa na kuanza kukupenda kunakujaga baadaye sanaaa..
Unaweza ukaishi na mwanaume miaka miwili akawa bado hajakupemda kabisaa !!! akawa yupo na ww kwa ajili ya sex...tu.
unaaweza ukawa unajiachia kwake ukajua uko pekee yako kumbe muko kama sita!!
Ukijiachia sana kwa mwanaume kisa kakutongoza siku tatu, vitu anavyokuonyesha vya kukupigia simu mwanzoni na vile sijui vi pillow talk, monkey style, Z style , U style ukajiona ndio unapendwa hutaamini muujiza!!
tambua tu inachukua muda mrefu sana mwanaume kuanza kuwa committed na wewe na kukupenda kweli!!
Mwanaume ataanza kufikiria kukuoa akiona una kitu cha pekee hasa kuwa na msimamo wa kujilinda na kutetea Maadili yako.
Kila siku nawaambia Ngono kabla ya Ndoa ni adui wa ndoto zako za kuolewa.
Utavunja kiuno kwa kumpa Ngono na bado utaambulia patupu!!
Nadhani nimesikika au niweke loudspeaker !?