Binti aliyetoroka kijijini kwao arejea baada ya miaka kumi;
Baba:We mtoto ulipotelea wapi,unajua ulimtesa sana mama yako?
Binti:Nilikuwa nafanya kazi ya umalaya Marekani
Baba:Mshenzi mkubwa we,umetutia aibu wazazi wako,toka na usikanyage tena hapa
Binti:Sawa baba ila kabla sijaondoka,nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini,mil 75 ziko bank
na gari nilikuja nalo ni la kwako.
Baba:Hv ulisema ulikuwa unafanya kazi gani tena?
Binti: Umalaya
Baba:aah!mimi nilidhania UYAYA!Karibu ndani mwanangu
Chezea pesa wewe
Baba:We mtoto ulipotelea wapi,unajua ulimtesa sana mama yako?
Binti:Nilikuwa nafanya kazi ya umalaya Marekani
Baba:Mshenzi mkubwa we,umetutia aibu wazazi wako,toka na usikanyage tena hapa
Binti:Sawa baba ila kabla sijaondoka,nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini,mil 75 ziko bank
na gari nilikuja nalo ni la kwako.
Baba:Hv ulisema ulikuwa unafanya kazi gani tena?
Binti: Umalaya
Baba:aah!mimi nilidhania UYAYA!Karibu ndani mwanangu
Chezea pesa wewe