ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Guangzhou kuna malaya wa kila aina kutoka kila nchi, huku waafrika wakiwa ndiyo wa bei poa zaidi. Hili lipo wazi na wengi ukiwahoji wanasema wanatafuta maisha, hili la kusema wanakwenda kama mahotelia wanawadanganyeni tu huko Bongo lakini huku wapo wawazi kabisa wanayasema wenyewe. Si Tanzania,Kenya,Uganda etc na kutoka Afrika magaribi wapo wa kumwaga barabarani. Yuan 200 tu mpaka asubuhi. Wasisingizie haya mambo wanakwenda huko wakiwa wanajua kabisa kinachowapeleka labda waseme kikwazo ni hicho cha kuambiwa wawalipe wafadhili USD 200 per day lakini wasidanganye kuwa huwa hawajui kinachowapeleka huko.