Binti asimulia watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro China

Yani wabongo wanawaza tu kwenda ughaibuni lakini hawawazi kwenda mbinguni atafikafikaje dah!
 
............. Waliamua kumwambia ukweli kwamba hata wao walipelekwa kwa miadi ya kupata ajira za hoteli, lakini hawafanyi hivyo. "Waliniambia kuwa nao walirubuniwa na wakanyang'anywa hati za kusafiria kama mimi na wakaishia kuambiwa wafanye biashara ya kuuza miili ili watafute fedha," anasema Munira.

Munira anasema alichanganyikiwa, hasa pale alipoambiwa na wenzake kwamba kazi kubwa ni kwenda klabu kujiuza au kuzurura eneo la Chambu Chambu. Chambu Chambu ni soko la bidhaa ambako wasichana hujifanya wananunua vitu, lakini kimsingi huwa wanakwenda kutafuta wateja wa ngono. "Kule wanaume wameshajijengea picha kuwa wanawake wa Kitanzania wapo kwa ajili ya kujiuza, basi wakikuona tu wanakufuata na mnaongea biashara, mnakwenda kumalizana," anasimulia.

Wasichana wenzake wa Kitanzania walimwambia kuwa hayo ndiyo maisha yenyewe, hivyo aliporejea ndani, mwenyeji wake (Jacky) alimwambia ajiandae kuanza kazi mara moja na Munira akawa hana budi kufuata maelekezo.

Baada ya hapo aliingia bafuni akaoga, kisha akaenda eneo la Chambu Chambu kutafuta wateja. "Nikakubaliana na hali halisi nikawa nafanya kazi kama nilivyoambiwa. Niliona nikubali lakini akili kichwani mwangu ilikuwa nifanye mbinu ili nirudi nyumbani," anasema
[/FONT]

Maisha bora kwa kila Mtanzania hayo. Team @JK 2005!!!
 
Kwa mara ya kwanza nilivyoisikia hii habari nilipatwa na maswali kadhaa maana kuna chembechembe za uongo.

Kuna baadhi ya sehemu za taarifa hii zilinifanya nisite kumuamini huyo binti, haswa anapotaja maeneo kama hoteli n.k
Pia mji wa Guangzhou huwa hauna baridi kali hata majira hayo ya baridi (sikukuu za mwaka mpya wa Kichina)

Ukweli niujuao mimi ni kwamba malaya wengi wa Kitanzania wanaopatikana Guangzhou, Macau au HongKong huwa hawapelekwi huko kwa shurti yoyote bali hupelekwa kwa hiyari zao wenyewe, wakiamini kuwa umalaya wa huko unalipa zaidi kwa kuwa hutoza dola ya Kimarekani/Hongkong au Yuan ya kichinia ambazo zipo juu kithamani kuliko shilingi.

Wakati nikiishi China, nilikuwa nashuhudia baadhi ya wadada wa hapa Tanzania wenye majina makubwa makubwa hujifanya wamekuja China kibiashara kumbe ni mgongo tu wa kuendeleza ufuska.

Miriam Odemba, kuna binti mmoja ana ushuzi mkubwa kwa jina Safina (kaigiza bongo movie ya In'ye na kina King Majuto), Ray C n.k wote hawa kwa nyakati tofauti wamewahi kufika HongKong na Guangzhou kwa masuala haya ya ufuska.

Kwa akili ya kawaida haiwezekani mtu akuambie kuwa unapelekwa kufanya kazi ya hoteli wakati huna makaratasi yanayoonesha kama umesomea taaluma husika, lugha ya Kichina hujui hata kidogo na hata ndege hujawahi kupanda maana ndege pekee unayemjua ni kuku unayemla na chipsi za kuhongwa.
 
k za kwao wenyewe sisi inatuhusu nini? wauze tu na kukopesha yote maisha

Kama hujui kitu inaitwa Human Trafic nyamaza sio mkubwa mzima unaongea utumbo, sio kila kitu ni cha kubeza tu, kuna mambo mengi yanafanyika kwenye hii biashara, hawa wasichana wanateseka si kwa kupenda.
 
hivi wanapo muona mchina mwenye nchi yake anuza vyuma gerezani kariakoo wanahisi kwanini kaja huku Mimi mtz yoyote alieko India, China, Malaysia, afu anakwambia anatafuta huwa na mshangaa Sana unashindwa kushiba kwenye sinia ushibe kwenye kijiko

Kuna nchi za kwenda kutafuta ila sio nchi asia.
 
hivi wanapo muona mchina mwenye nchi yake anuza vyuma gerezani kariakoo wanahisi kwanini kaja huku Mimi mtz yoyote alieko India, China, Malaysia, afu anakwambia anatafuta huwa na mshangaa Sana unashindwa kushiba kwenye sinia ushibe kwenye kijiko

Hilo ndo tatizo mkuu....hawa hawashirikishi ubongo kwenye maamuzi,wachina mpaka wanauza soksi kkoo wewe eti uende kutafuta ajira china,hawa ni wauza "mbunye" tu yakiwazidi ndo wanajifanya kulia
 
Tamaa za Maisha ya nje ya nchi ndio Zinawaponza .....wasichana wa siku hizi wakisikia kuna kazi ulaya faster kashawaza kutoka kimaisha matokeo yake ndio haya yanawakuta mabaya
 
ni wakati sasa wa uchina kudhibiti visa ya kuingia huko ikawa na thamani kidogo.
 
Tatizo njaa na tamaa za kupelekwa nje ya nchi kwa ahadi nyingi za uongo.. Mtu anakufuata, anakushawishi na kukubembeleza akakutafutie kazi nje ya Nchi. Bado tu hustuki..? Kwani yeye hana ndugu zake wa kuwapeleka..! Hiwe fundisho kwa wengine, huyu kafanikiwa kurudi lakini wengine wanabakwa, na kuuwawa kila siku huko ughaibuni..dada zangu kuweni makini na tamaa zenu za kutaka ku-punch Maisha haraka haraka...
 
Ni ukosefu wa kufikiri wa hawa mabinti, sijui ni mataahira! Hivi mtu akuhangaikie kukutafutia "ajira" abroad halafu akupigie na mchakato wa passport na viza na nauli juu kwa hushtuki tu? Kwa mahitaji gani ya nguvukazi yaliyopo China ambako kuna watu zaidi ya bilion moja? Na kila siku watu wanatoa experience ya huko, hivi kwanini hawakomi hawa mabinti?
 
Nimesoma, nikasikitika, wengi wanasema angekimbilia ubalozini, hela ya ufadhili, hati za kusafiria umenyang'nywa, china ni kubwa sana kutoka jimbo moja hadi jingine mabali sana, na ubalzi haupo katika kila jimbo. Swala kubwa wadanganyika tuache umbumbu, akili zetu zifanye kazi. Kama kutoka tutatokea hapa hapa bongo.
 
Human trafficking!

Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu anafanya biashara hiyo kwa kuwapeleka wasichana wadogo huko Uarabuni kwa kisingizio eti anawatafutia ajira za uboi wa ndani!! Inabidi akamatwe mara moja kwani biashara ya binadamu ni haramu na ni kosa la jinai!!
 
Mbona wengine tunawajua kabisa wanapost machapi fb as if wa na kazi nzuri huko au unaweza kudhani wanafanya issue za maana kumbe wanafanya kujiuza mmmmh nakumbuka kuna dada mmoja aliuawa huko kwa kipigo na mwanaume nae alikua anajiuza mmmh
 
Maskin x wangu
sijui anabanguliwa knyce.Daa ughaibuni Kma hujaenda kwa kusudio la kuwa punda,basi wanaenda kubanguliwa kikojoleo&kinyeleo.
Akna maso gang wamehamishia maisha huko,kumbe Inye inalipa,inamweka kwa madiba!
Duuh haya liweni mpendavyo,mmepewa bure mnatoa kwa ujasiliamali.
 
Kumbeee...hili linaweza kuwa na ukweli kwa kiasi fulani..kuna wasichana wawili watoto wa mjomba wangu wako huko huwa wanakuja na kurudi nikiwauliza huko mnafanya kazi gani huwa hawanipi majibu na ukizingatia elimu yao ndogo...duh kumbe ndo kazi yao maana huwa naona wanatupia picha za kihasara hasara kumbe wanajiuza...lol...ntafia bongo na umaskini wangu.
 
Back
Top Bottom