@Amstedarm mbona haya ni madogo! nenda jukwaa la biashara na uchumi utafute post moja ya mtu anaitwa majimoto, post inaitwa "biashara ya uchawi Tanzania" ukiweza anza mwanzo kusoma ina kama page 30's hv ina visa vya kutisha we acha tu!
Nadhani hili ni somo zuri sana kwa wale wanaodhani maisha mazuri huja kwa kutimiza matakwa ya watu. Huwezi jua hayo unayoyaita maisha ya masonononeko ndio maisha ya raha, masononeko utayatafuta mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.