watakuwa wanaenda kuwa initiated na mambo ya nguvu za giza....endelea kuchunguza tabia zake za sasa na hali ya maisha ya familia yake lazima kutakuwa na mabadiliko makubwa.I am glad haikuhusu wewe, naweza iamini kwani nimejifunza there is a lot going on kwenye hii ardhi. The fact kwamba hujashuhudia does not mean kuwa hayapo.
Kuna issue imetokea recently hapa Kigoma,
Anakuja mdada nyumbani kwako, na kujiintroduce as a distance relative na kukutajia maisha yako na ya watu wako wa karibu wote (anavaa uhusika kisawa sawa), anakaa siku kama mbili halafu anaondoka na mtoto wako wa kike less than 2 yrs. Baada ya muda (hadi miezi) unakuja mpata wilaya au mtaa mwingine kabisa unharmed.
Amefanya hivyo kwa familia moja ninayo ifahamu, over the course ya kuhangaika wakakuta hiyo story kwa watu wengine kama 6 hivi (police kituo cha mjini Kigoma wanaifahamu). Huyo dada anajulikana kwao kama Kabula (jini Kabula), na inasemekana anawapeleka hao mabinti ziwani God knows nini kinafanyika huko.
Kwa kweli mambo mengine yanatisha sana, usiombe kukutana nayo!
Yapo mengi mabaya dunia hii....salama ni ndani ya Yesu tu.