Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,472
- 21,953
Mvua ya jana imeibua nyuzi nyingi za kunyanduana 😍Huyu mama wa binti mmoja tu, mchacharikaji anaemiliki guest house kama 20 katika miji tofauti. Yeye hakuwahi kuolewa na sexual life yake ni ya siri sana. Kumbe hupenda kuvinjari na vijana akiwa anatembelea guest zake.
Binti yake aliyemsomesha mwenyewe baada ya kumaliza shule na kupata kazi, akiwa anaishi nyumba moja na mama yake. Binti ametokea kumpenda kijana ambae mama pia ameamua kutuliza moyo kwa kijana yule. Mama akiahidi kumtunza kijana kwa gharama zozote zile.
Kijana alikuwa na wakati mgumu. Pesa ya mama anaipenda na penzi la binti analitaka. Aliamua kuwaridhisha wote kwa wakati mmoja.