Hapo hamna kitu...anasaidiwa na hela zake tu angekuw huku uswahilini kwetu ambako tunatumia vipodozi vya 500 na tunavaa nuo za bukubuku angekuwa hovyo kabisa...sioni kama ana urembo wowote, soamahani kwa kuwakwaza wale wanaomfagilialk mimi sijaona kinacomfanya mumfagilie...beauty is subjective!!!!