Bingwa wa kukosea

Bingwa wa kukosea

Hapa kwetu tuna ushirikina sana! (ushirikiano) pokea zawadi.
 
Heeee hatari lakini lasama, "CHAMA CHA DEMO NA MAANDAMANO" By Arusha RPC, Angendenye iasto
 
leo ntakunywa baa mpaka bia zifungwe
tigwa anafukuzwa na shimba
 
kila ukiitwa umekuwa ukiharisha, lakini leo umekunya, tunashukuru kwa kunya kwako
 
nauza comfyuta, upss! nimechapia anyway ulimi hauna mpupa.
 
Kila ukitaka ku......unaha.....sha bahati nzuri leo afande ume......nya ofisini karibu sana maafisa wote wapo na tuko tayari kukusiiiza.
 
Back
Top Bottom