MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 793
Kusema kwamba ubashiri wa TB Joshua ni maono anayopewa na Mungu inaleta tabu kuamini hasa kama mtu ni Mkristo unayefuatilia maandiko.
Iweje nabii atabiri majanga tu, na kwa nini anapotabiri hawi specific kwa kutaja jina la mhusika, tarehe ya tukio na mahala litakapotokea? Sikumbuki mahala popote kwenye maandiko ambapo nabii alitoa maono ambayo ni generalised kuhusu mtu fulani.
Kwa hiyo ikitokea hapa kwetu nasi tufurahi.Wananchi wa malawi watakuwa wamefurahi sana Mungu kuwafanyia mabadiliko ya uongozi.
Hii inatokana na jinsi walivyokuwa wanapigania kumwondoa madarakani.
Hii ni tafakuri yangu tu.
RIP wa MUTHARIKA.
Nazidi kuamini Lowasa atakuwa rais wa 2015, kwani Joshua alitabiri kutokea kifo within two months kwa kiongozi wa afrrica pia aliwai kutoa utabiri juu ya Edo kuwa presider.......R.I.P Mutharika
Utabiri wa TB JOSHUA WATAMIA ALISEMA BAADA YA MIEZI MIWILI KUNA RAIS ATAKUFA
Kwa hiyo ikitokea hapa kwetu nasi tufurahi.
Wananchi wa malawi watakuwa wamefurahi sana Mungu kuwafanyia mabadiliko ya uongozi.
Hii inatokana na jinsi walivyokuwa wanapigania kumwondoa madarakani.
Hii ni tafakuri yangu tu.
RIP wa MUTHARIKA.
Bado huyu jamaa wa Bagamoyo
Mi sishabikii mtu kufa, hata kama angekua bosi wa freemasons duniani. RIP Bingu
Tuambie ni vitabu gani hivyo. Kama ni Biblia ntakupa msaada lkn kama ni vitabu vingine,Vitabu vya dini vinatuambia siri ya kifo cha binadamu ajuaye ni Mungu tu hawa miungu wengine waliomwibia Mungu siri hii wanatoka wapi hapa duniani?
siri ya uumbaji wa binadamu pia imebaki na Mungu.
Kwa wanaoamini katika maandiko ya Mungu hii imekaaje?
TB JOSHUA IS ANOTHER YAHYA HUSSEIN
TB JOSHUA = YAHYA HUSSEIN
Naomba radhi kwa niliowagusa kiroho
Afariki rasmi?
HAHAHAHA!
May his soul get burnt forever in hell...
AMEN!
mUNGU amlaze pema peponi. Kwa sababu ni Pasaka anaenda moja kwa moja peponi. Watu wengine wana bahati kinoma.
"Amefariki rasmi" i don't get it!