Bindamu ameumbwa kwa udongo mweusi:Qur'an

Bindamu ameumbwa kwa udongo mweusi:Qur'an

Kikwajuni One

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
14,703
Reaction score
7,907
Kwa mujibu wa Qur'an,bnadamu wote,wameumbwa kutokana na udongo mweusi.

Kwa maana binadamu wa mwanzo,aliumbwa kutokana na udongo mweusi. Kwa hiyo Mtu mweusi ndio,baba mzazi wa binadamu wote.

Na ndio ukaona mtu mweusi, anamsaidia mtu mweupe kwenye mambo mengi.

Mtu mweusi yuko tayari,kupoteza hata uhai wake,kwa kumsaidia mtu mweupe kwa vile mtu mweusi,ndio baba wa mtu mweupe.

Tunskosea sana,kwa kuweka historia ya kuwa mtu mweusi,alikuwa mtumwa,sio utumwa aliyokuwa akifanya, ila alimuona huruma mwanawe, mtu mweupe, ili asipate tabu kimaisha.
 
Tatizo kubwa la qu'ran imejaa blah blah nyingi sana ndani yake, na kwa kujificha nyuma ya lugha ya Kiarabu.
Wewe ndio una Blah blah.Kubali kataa,mtu mweusi ndio baba,wa binadamu wote.
Ndio ukaona,binadamu,hata awe mweupe vpi,ziko sehemu ni nyeusi,hata kidoti kidogo cheusi,atakuwa nacho.Nyele ni nyeusi,nyusi ni nyeusi,na nyele,zilizojificha pia ni nyeusi.
 
Baada ya kushugulikia kwa nini tunaumwa magonjwa na vumbuzi za teknolojia wewe unarudi kusema udongo ndio binadamu. mbona ujawahi kuotesha binadamu
 
Kwa mujibu wa Qur'an,bnadamu wote,wameumbwa kutokana na udongo mweusi.

Kwa maana binadamu wa mwanzo,aliumbwa kutokana na udongo mweusi. Kwa hiyo Mtu mweusi ndio,baba mzazi wa binadamu wote.

Na ndio ukaona mtu mweusi, anamsaidia mtu mweupe kwenye mambo mengi.

Mtu mweusi yuko tayari,kupoteza hata uhai wake,kwa kumsaidia mtu mweupe kwa vile mtu mweusi,ndio baba wa mtu mweupe.

Tunskosea sana,kwa kuweka historia ya kuwa mtu mweusi,alikuwa mtumwa,sio utumwa aliyokuwa akifanya, ila alimuona huruma mwanawe, mtu mweupe, ili asipate tabu kimaisha.
Acha uongo. Watu weusi, hasa wasiojua chuki walizo nazo watu wanaojiita weupe dhidi yao huwaona kama miungu na kupenda kuwasaidia wakati wao wanawachukia. Ajabu, weusi hao hao huwachukia na kuwadharau wenzao tokana na akili za kitumwa. Kila watu wana chanzo chao ndiyo maana hawafanani. Quran ni ngano kama nyingine. Haina ukweli wowote
 
HICHO KITABU KILICHOTUNGWA NA MA JESUITS WA VATICAN KIMEHARIBU SANA DUNIA
Jesuits ni idara ya kijasusi ya kipapa kwa muda mrefu sana, inawezekana kabisa walimlisha matango pori mengi sana Mudi, kwa kuwa alikuwa hajui kuandika wala kusoma.

Na wakatumia fursa hiyo kumkaririsha na kumuundia dini na utume wake kwa mnyazi wake wa kufikirika waliyempachika jina la Allah.
 
Jesuits ni idara ya kijasusi ya kipapa kwa muda mrefu sana, inawezekana kabisa walimlisha matango pori mengi sana Mudi, kwa kuwa alikuwa hajui kuandika wala kusoma.

Na wakatumia fursa hiyo kumkaririsha na kumuundia dini na utume wake kwa mnyazi wake wa kufikirika waliyempachika jina la Allah.
Hakuna wa kutunga quran hao majus kitabu chao chenyewe kimewashinda kukilinda lete evidence inayojitosheleza usifanishe Quran na vitabu vya ajabu vya majus..Kama wew umeamua kuamini majusi amini hao mashetani Islam ni dini iliyokamili imenyoooka kutoka kwa mola mlezi

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna wa kutunga quran hao majus kitabu chao chenyewe kimewashinda kukilinda lete evidence inayojitosheleza usifanishe Quran na vitabu vya ajabu vya majus..Kama wew umeamua kuamini majusi amini hao mashetani Islam ni dini iliyokamili imenyoooka kutoka kwa mola mlezi

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Umeelezea vizuri.Waeleweshe,wameshakuelewa,ila wanajifanya hawajaelewa.
 
Kwa mujibu wa Qur'an,bnadamu wote,wameumbwa kutokana na udongo mweusi.

Kwa maana binadamu wa mwanzo,aliumbwa kutokana na udongo mweusi. Kwa hiyo Mtu mweusi ndio,baba mzazi wa binadamu wote.

Na ndio ukaona mtu mweusi, anamsaidia mtu mweupe kwenye mambo mengi.

Mtu mweusi yuko tayari,kupoteza hata uhai wake,kwa kumsaidia mtu mweupe kwa vile mtu mweusi,ndio baba wa mtu mweupe.

Tunskosea sana,kwa kuweka historia ya kuwa mtu mweusi,alikuwa mtumwa,sio utumwa aliyokuwa akifanya, ila alimuona huruma mwanawe, mtu mweupe, ili asipate tabu kimaisha.
Kwanini Waarabu wanawadharau na kuwabagua watu weusi?
 
Jesuits ni idara ya kijasusi ya kipapa kwa muda mrefu sana, inawezekana kabisa walimlisha matango pori mengi sana Mudi, kwa kuwa alikuwa hajui kuandika wala kusoma.

Na wakatumia fursa hiyo kumkaririsha na kumuundia dini na utume wake kwa mnyazi wake wa kufikirika waliyempachika jina la Allah.
Mapapa wote ni weupe,wangesema binadamu kaumbwa kwa kutumia udongo mweupe,wangejisifia,kuwa wao ndio asili ya binadamu.
 
Acha uongo. Watu weusi, hasa wasiojua chuki walizo nazo watu wanaojiita weupe dhidi yao huwaona kama miungu na kupenda kuwasaidia wakati wao wanawachukia. Ajabu, weusi hao hao huwachukia na kuwadharau wenzao tokana na akili za kitumwa. Kila watu wana chanzo chao ndiyo maana hawafanani. Quran ni ngano kama nyingine. Haina ukweli wowote
Wewe mwenyewe,hata kama uko mweupe iko sehemu,ndani ya mwili wako,uko weusi.
 
Magonjwa Mtambuka emu njoo hapa
Screenshot_20230101-012007.png
 
Back
Top Bottom