Binadamu wasio na upendo wanaandaliwa!

Ni kweli kabisa, kuna familia moja niiona siku moja ya visiting day shule ya boarding, wamekuja na magari mawili ya Noah baba na mama ages 40+ wamemvisit mtoto wao wa nursery, niliumia. Mtoto alipowaona alilia, akalia, akalia kilio kikuu, wazazi wakabembeleza wakala mazagazaga waliyoleta, wakashusha na kwenye magari matakataka chungu mzima meeengiii, kimbembe saa ya kuondoka mtoto alianza kulia tena kwa maumivu makali sana, huwezi amini wale wazazi waliondoka na kumwacha pale sijamini mpaka leo. Yaani mtoto alilia kwa uchungu mpaka akaishiwa nguvu wakambeba kumpeleka dorm!
 
Umesahau hili hawezi kuwa na line bila kupitia misukosuko ya kufungiwa,foleni na alama za vidole 😜
Hapo tunaanda Tanzania ya vidole
 
Tunachukulia mambo makini kiuwepesi sana
tunakesha makanisani kumuomba Mungu watoto......then tunaanza kujidai tuna uwezo,....nlikuta katoto kana miaka 4 boarding....inaumiza but huna la kufanya....halafu wazazi wako wanakula bata kama walilazimishwa kuzaa
 
tunakesha makanisani kumuomba Mungu watoto......then tunaanza kujidai tuna uwezo,....nlikuta katoto kana miaka 4 boarding....inaumiza but huna la kufanya....halafu wazazi wako wanakula bata kama walilazimishwa kuzaa
.....inauma sana!
 
maisha yamekuwa ya ajabu siku hizi........na watoto kama hao mara nyingi huangukia kwenye uhuni, bange , fegi, unga na hata ulevi wa hovyo.....
Wanajifunza mambo magumu na ya ajabu uko ndo na ushoga pia, mara kusagana yaan dah
 
Back
Top Bottom