James Kasonda
Member
- Apr 2, 2012
- 84
- 49
- Tunathamini elimu kuliko utu wa watoto wetu
- Mtoto anapelekwa shule ya bweni tangu akiwa chekechea
- Watoto wanakosa upendo wa wazazi wao na wanalelewa kama watoto yatima
- Matokeo ya hizi shule za bweni tutayaona muda si mrefu.