Hivi binadamu watakapoanza kuishi huko kama ilivyopangwa; je, nafasi ya dini itakuwaje huko? Kwa mfano, itahubiriwa kwamba Yesu alikuja duniani? Kumbuka huko ni Mars sio duniani. Au labda hija ni lazima kwenda mji Mtukufu wa Makah? Watahama na vitabu hivi hivi vya dini ambavyo vinazungumzia zaidi mambo ya duniani na sio Mars(ni)? Just want to know.
Kadiri maendeleo ya sayansi yanavyoongezeka naona dini zikipata wakati mgumu sana vizazi vijavyo. Anyway, labda na wenyewe watapelekewa mitume na kitabu cha zama zao.