Binadamu mwenzako huwezi kumtendea unyama huu

Binadamu mwenzako huwezi kumtendea unyama huu

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,326
Reaction score
4,242
INAUMA SANA.
Kuna mama mmoja ni mtu mzima tu jilani yangu kila jumapili saa kumi na moja mumewe akitoka kwenda kanisani yeye muda huo huo huingiza mwanaume mwingine ndani.

Jumapili ya leo nimeshuhudia tena, ile mume wako alivyotoka tu kwenda kanisani mida kama ya saa kumi na moja asubuhi na yeye muda huo huo akamuingiza jamaa ndani na wakafunga mlango

Imekuwa ndiyo mchezo kila jumapili na watu kibao wameshastukia mchezo mzima.

It pains so deeply kuona mwanaume mwenzako akitendewa haya.
Wanawake ni watu wa ajabu sana.
 
INAUMA SANA.
Kuna mama mmoja ni mtu mzima tu jilani yangu kila jumapili saa kumi na moja mumewe akitoka kwenda kanisani yeye muda huo huo huingiza mwanaume mwingine ndani.

Jumapili ya leo nimeshuhudia tena, ile mume wako alivyotoka tu kwenda kanisani mida kama ya saa kumi na moja asubuhi na yeye muda huo huo akamuingiza jamaa ndani na wakafunga mlango

Imekuwa ndiyo mchezo kila jumapili na watu kibao wameshastukia mchezo mzima.

It pains so deeply kuona mwanaume mwenzako akitendewa haya.
Wanawake ni watu wa ajabu sana.
Madhara ya kwenda kanisani hayo ndiyo maana mimi sitakanyaga kanisani bila kuongozana na mwanamke wangu wala yeye hatoenda bila mimi nduli kuwepo
 
Madhara ya kwenda kanisani hayo ndiyo maana mimi sitakanyaga kanisani bila kuongozana na mwanamke wangu wala yeye hatoenda bila mimi nduli kuwepo
hoja hapo ni uaminifu, kama ukiambatanae kanisani basi atatafuta namna nyingine ya kukuzunguka.......maana huwezi kuwa nae kila sehemu. au na kazini utaambatana nae mkuu?
 
Back
Top Bottom