Binadamu katoka wapi?

Ishu kubwa ya ku discuss Ni tuyatumiaje vizuri maisha yetu
 
Historia hizi ni kujifariji/sarakasi a.ka panadol tu, hakuna jibu humo.
 
Ishu kubwa ya ku discuss Ni tuyatumiaje vizuri maisha yetu
Fumba macho kisha jiulize kile ambacho nafsi ingependa kukifahamu kwa wakiti huo_ kisha timiza hilo hitaji

Ndio matumizi mazuri ya maisha usitake kuyapatia kutoka kwetu utafeli
 
Hakuna lengo wewe ishi tu inatosha

Is you seek for God huge parpose your definitely loooser
You dont need to write in foreign language to prove your point .

Sasa tazama unavyotuabisha watanzania.
 
Nadhani wazo hili umelipata baada ya kusoma biblia

Siku zote biblia inafanya watu wawe inferior kuhusu maisha made to make people seeking for unknowingly and stack on their own trap
 
You dont need to write in foreign language to prove your point .

Sasa tazama unavyotuabisha watanzania.
Kwa wewe upo kuchunguza grammar

Kaa hapo hapo na mdole wako kichwani
 
Binadamu aliumbwa na Mungu kwa kutumia udongo. Ushahidi wake upo wazi saana. Angalieni idadi kubwa ya wanawake wajawazito Mara nyingi hupenda kutafuna udongo wawapo katika hali hiyo na wanapokaribia kujifungua huacha. Hii hudhihirisha kuwa udongo ni malighafi muhimu ktk uumbaji Wa kiumbe kipya (binadamu). Ningependa mjadala huu ufungwe, maana tunaweza kutafuta reference za kila aina lakini ukweli halisi ni huu. Nawasilisha.
 
Kwaiyo kwa mwanamke kula udongo ndio hitimisho la asili ya watu...!?
 
kila kitu ni mipango na maendeleo ya kitengenezwacho ulimwengu ni mkubwa usio fahamika ukomo wake hata dunia ni kubwa isiyofahamika ukomo wake mbali na kudangangwa kwa c.g.i umbo sahihi la dunia,mpka leo haijulikani iko vipi...viumbe ni vingi


Mionekano yao ya kimaumbile ni mingi zaidi ya vilivyomo na uvifikiliavyo ulimwengu hautasiminiki wala kufikirika bali ni mabadiliko tu ya kimaendeleo ndio yanayo tusogeza angalau hatua moja mpka nyingine....


Wanyama aina yetu human homo tulipandikizwa kwa muda uliopo kama huu na tunazidi kuwa na maboresho ya ukuaji wetu kimbinu za upambanuaji mambo ilihali waliotuumba wamekuwa mafichoni,na haifahamiki kama wamejificha au wanatufuatilia kwa ukaribu zaidi..


maisha yetu ni mithili mtihani fulani ambao hao wataalamu wetu wapo nao katika majaribio yao,na ndio maana tuko ili zoezi lao likamilike atupo ili tudumu....kuna machache ambayo unaweza ukajitoa na ukadumu ila hauko ili udumu bali kukamilisha zoezi....
 
Nilikuja kwa mfumo wa kuelezea dunia haitabiriki umbo lake, na wengi walikataa. Ndio nikajuwa tayari waliokaririshwa vimekaa vichwani mwao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…