Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
Na kwa kuongezea,
Hapo kale kulikuwa na species nyingi za homo na wakati Homo sapiens akitokea ali co exist pamoja na species nyingine kama neanderthals huko Ulaya. Kwa ufupi zamani kulikuwa na species nyingi sana za binadamu.
Presently kuna species moja tu ya binadamu duniani kote ambayo ni Sapiens. Hizo species nyingine zilivyotoweka kabisa kwenye uso wa dunia mimi na wewe hatufahamu. Hakuna anayefahamu.
anza kufuga kuku wawili jike na dumeKatika nadhalia ya Dini kwamba binadamu katokana na Adam na Hawa hii haingii hakilini kwangu kwanini kuwepo matabaka ya rangi na kuwepo na jamii tofauti kwanini tusiwe wa rangi moja kama ni weupe au uweusi haiwezekani mzungu akazaa mtoto mweusi au Mwafrika azae mtoto mzungu.
Nadhalia ya pili kwamba binadamu katokana mabadiliko ya kimaumbile hii ina mashiko kiasi kikubwa nikichukua ushahidi wa fuvu la kale pale Olduvai gorge ni wazi binadamu kapitia katika hatua mbali mbali mpaka kuwa binadamu kamili..
Mbona hiyo siyo mpya. Kuna mapya zaidi.Aisee! Hii mpya kwangu.
Mbona hiyo siyo mpya. Kuna mapya zaidi.
Inaelezwa na wanasayansi kuwa binadamu wote tuliopo sasa hivi tumetokea kwa mtu mmoja aliyeishi somewhere around 300 BC maeneo ya East Asia.Duh! Yapi hayo tena?
Ebu fafanua walau kwa kiasi flani wapate kukuelewa nami niongeze kitu katika hichi ulichosema..Binadamu ndiye shetani, aliyefukuzwa huko mbinguni, ila kwa ubishi na kujitetea hakuna apendaye na kukubali yeye kuwa ni shetani.
Tumekuwa kama watoto akifanya kosa hutafuta visingizio, hakuna historia ya kweli ni visingizio. Tukubali sisi ndiye kizazi cha LUCIFER.
Ongezea tu mkuu nitakuja natafuta mkate hapa kwa sasa.Ebu fafanua walau kwa kiasi flani wapate kukuelewa nami niongeze kitu katika hichi ulichosema..
Imeandikwa mtu hataishi kwa mkate tu bali hata maarifa ni chakula cha akili na roho so ukishapata huo mkate ntakusubiria uje uwaelezee kile ulichojifunza then ntarudi ku add nachokijua juu ya hiloOngezea tu mkuu nitakuja natafuta mkate hapa kwa sasa.
Mungu alitufukuza kule Eden kwasababu ya curiosity yetu, kutaka kujua kila kitu hadi tupitiliza. Tukaanza kumtengeneza shetani ili tumpe maovu yetu, sisi hatutaki kuukubali ukweli na ni nature yetu kujitetea kwa kutafuta wa kumlaumu, tuko hivyo. Tunajua na kuweza kutenda kila kiovu humu duniani lakini hatutaki kuukubali ushetani. Tunasema Mungu alimfukuza shetani mbinguni na akamtupa duniani, tunamuona shetani duniani lakini tunajidai hatumuoni MWANADAMU/SHETANI. Ikiwa dunia haikuwa makao yetu ya asili tuliletwa huku baada ya kukithiri kwa uovu wetu, kwanini hatutaki kukubali ushetani wetu. Huko tulikukuwa tukiishi awali anaishi nani sasa, mfungwa wa maisha huwa anasimulia uovu wake wa awali akiwa gerezani,anasimilia ya nje au uraiani,anatanani asamehewe arudi uraiani, je sisi tunatofauti gani na mfungwa wa maisha kusimulia uzuri wa peponi tukiwa duniani?! Tunasimulia uzuri wa Mungu huko aliko tukiwa duniani, tunatamani tupate msamaha tukaishi kule kwa zamani lakini Mungu hajatusamehe tutaishia huku duniani, pepo hatutaiona tena. Sio kukata tamaa huo ndio ukweli, haya maisha tunajifariji tu lakini huo nadhani ndio ukweli.Ebu fafanua walau kwa kiasi flani wapate kukuelewa nami niongeze kitu katika hichi ulichosema..
Kwaiyo mkuu una maana Mungu kawatelekeza huku duniani au sio..!?Mungu alitufukuza kule Eden kwasababu ya curiosity yetu, kutaka kujua kila kitu hadi tupitiliza. Tukaanza kumtengeneza shetani ili tumpe maovu yetu, sisi hatutaki kuukubali ukweli na ni nature yetu kujitetea kwa kutafuta wa kumlaumu, tuko hivyo. Tunajua na kuweza kutenda kila kiovu humu duniani lakini hatutaki kuukubali ushetani. Tunasema Mungu alimfukuza shetani mbinguni na akamtupa duniani, tunamuona shetani duniani lakini tunajidai hatumuoni. Ikiwa dunia haikuwa makao yetu ya asili tuliletwa huku baada ya kukithiri kwa uovu wetu, kwanini hatutaki kukubali ushetani wetu. Huko tulikukuwa tukiishi awali anaishi nani sasa, mfungwa wa maisha huwa anasimulia uovu wake wa awali akiwa gerezani,anasimilia ya nje au uraiani,anatanani asamehewe arudi uraiani, je sisi tunatofauti gani na mfungwa wa maisha kusimulia uzuri wa peponi tukiwa duniani?! Tunasimulia uzuri wa Mungu huko aliko tukiwa duniani, tunatamani tupate msamaha tukaishi kule kwa zamani lakini Mungu hajatusamehe tutaishia huku duniani, pepo hatutaiona tena. Sio kukata tamaa huo ndio ukweli, haya maisha tunajifariji tu lakini huo nadhani ndio ukweli.
Hao jamaa japo sifahamu majina yao halisi ila nina hakika ndio waletao kizungumkuti cha dini na maarifa mengini wanyama tulio pandikizwa kutoka katika utawala wa lyrans humanoids,...