Aisee hiyo ADK inaweza kuwa gari ya Jumapili.. Kusema ipo tangu namba A sio ishu.. Kilometers za engine hazipimwi kwenye namba au mwaka.. Dashboard ndio kila kitu.. ADK dashboard inasoma ngapi..!!?Kuna gari ina 2000cc namba ADK ni nzima na kuna gari 4500cc ipo juu ya mawe. Na kuna gari nyingi tu za namba A na B zinadunda mitaani, kwanini hazijafa?
Usipotunza gari yako kama inavyotakiwa hata iwe na cc 13,000 lazima ife.
Ukizitunza zote lazima zitadumu mpaka either body ife au uamue kuiuza scrapper.
Nini kinafanya engine ya 900cc inayotunzwa vile inavyotakiwa ife? Yani unaamka asubuhi gari imejifia tu? Kuna gari namba D engine imeshaanza kukongoroka na ingine namba B engine bado inadai. Zote 2500cc.
Kuna huyo alifikisha 500k kwenye 1.6l engine. Hiyo ni engine kubwa?
BTW, kukariri engine codes hakukufanyi uwe mtabe, experience na simple reasoning inaweza ikakushinda vilevile.
Arguing with assumptions. No facts or theories to support.Aisee hiyo ADK inaweza kuwa gari ya Jumapili.. Kusema ipo tangu namba A sio ishu.. Kilometers za engine hazipimwi kwenye namba au mwaka.. Dashboard ndio kila kitu.. ADK dashboard inasoma ngapi..!!?
Iwe inapiga masafa isingekuwepo..
Sasa hayo ndio maswali ya msingi ya kuuliza.. Engine inakufaje..!
Engine ndogo kwenye same chassis na engine kubwa kinachotokea ni kwamba itabidi ifanye kazi ya ziada kupush same car..
Movements za engine ndio mwanzo wa engine kuwear n tear.. Piston na block wall ya engine ndogo itasagika zaidi ya engine kubwa sababu you need kuipush engine ndogo zaidi kupata results ya engine kubwa.. Engine kubwa zina advantage inaproduce power effortless..! Rpms ndogo kwenye engine kubwa inatoa power kuliko same rpms kwenye engine ndogo..!
Huko ndio kufa kwa engine.. Piston na block ya engines ndogo haiwezi kulast kama mashine kubwa..!
Huyo aliyefikisha hizo kms kwenye hiyo gari ni mmoja kati ya wengi..
Usisahau knowledge is power..!
Yes experience na simple reasoning umeshindwa kuelewa engine ndogo ina life span ndogo..!!!
Pikipiki ya 150cc na 250cc blocks zake zitalast sawa..!!!? Hizi ndio simple reasoning..!
Ishu sio HD yenye kilometers hizo.. Point yetu ni gari yenye engine kubwa ina span kubwa kuliko gari ya engine ndogo.. Hatulinganishi diesel vs petrol..
Umesema kinachomaliza engines ni wear n tear.. Very correct.. Wear n tear inatokea kwenye movements za pistons against block walls.. Sasa engine ndogo itabidi irev zaidi ya engine kubwa ili kupata same output.. Eventually engine ndogo itawear mapema zaidi..!
Dah nimeona nimechoka alivoleta SCANIA.Tunaongelea LC200 vs BMW wewe unaleta mambo ya Scania. Kichwa chako kigumu kuelewa? Huyo mwenzako ameleta story za Golf yenye 500k. Yako yenye 1M ipo wapi?
Bus za Kilimanjaro zile za namba A zina km zaidi ya 1M. Scania zinazoenda nje ya nchi ndani ya 10 yrs lazima zivuke 1.5M. Najua hilo.
Onyesha hizo engine za LC200 zenye 1M.
Dah nimeshindwa nikujibu nini...ADSKFJHLA..!!!
Aisee yaani bado unaonesha ugumu kuelewa..!
LC200 vs BMW- mbio...!!
Smaller engine vs Bigger engine- life span..!!
Wapi nimesema kuna LC200 ya hizo kms!!? Mimi naongelea engine kubwa ina maisha marefu.. Sasa naona mnaanza kuweka limits..Halafu kitu kama wewe hujui kitu sio kwamba hakipo... Kuna Tundra.. Kuna 70 series kuna 80 series ambazo zimeclock zaidi ya 1M kms..!!!
Naona mnakimbia kuswitch aina za magari badala ya kubase kwenye point ya msingi cc nyingi gari inaishi muda mrefu..!
Nimeuliza swali kakimbia.. Tofauti ya internal combustion engine ya sedan na scania ni ipi..!!!
Aisee na huu ndio mfano wako..!!! CC 5700 ukiitunza vibaya inakufia na cc 1300 ukiitunza vizuri itaendelea kudumu mpaka hilo body life... Kwahiyo moja ukizitunza zote vizuri zitadumu sawa!!!?
Suzuki Jimmy ya 660cc iwe na maisha sawa na 1300cc...!!!
Passo ya piston 3 iwe maisha sawa na ya piston 4..!!!
Nissan patrol y61 ya 3.0 iwe na maisha sawa na 4.2..!!!
Bmw e361.6lts iwe na maisha sawa na 2.5lts..!!
Aisee inabidi upgrade game yako ya magari.. Fanya research zaidi au uwe unaulizia tunakupa maelekezo..!!!
Kuna huyo alifikisha 500k kwenye 1.6l engine. Hiyo ni engine kubwa?
Aisee nahisi tunashindwa kuelewana..Arguing with assumptions. No facts or theories to support.
Umeoneshwa gari ya 1.6l yenye 500k ukarukia kusema ingekuwa ya 4.5l ingeshafikisha 1M. Ukaambiwa leta hiyo yenye 1M, ukaleta lorry. Are you sane?
Nimekwambia namba ADK nzima namba D zipo juu ya mawe. Ukaishia kuassume gari ya weekend. How do you know that? I'm sure huifahamu hata hiyo gari.
You are too hypothetical. Na unaongea sana zile theory za kitaa za kusikiliza mafundi.
BMW na V8 hazina same chassis...Aisee hiyo ADK inaweza kuwa gari ya Jumapili.. Kusema ipo tangu namba A sio ishu.. Kilometers za engine hazipimwi kwenye namba au mwaka.. Dashboard ndio kila kitu.. ADK dashboard inasoma ngapi..!!?
Iwe inapiga masafa isingekuwepo..
Sasa hayo ndio maswali ya msingi ya kuuliza.. Engine inakufaje..!
Engine ndogo kwenye same chassis na engine kubwa kinachotokea ni kwamba itabidi ifanye kazi ya ziada kupush same car..
Movements za engine ndio mwanzo wa engine kuwear n tear.. Piston na block wall ya engine ndogo itasagika zaidi ya engine kubwa sababu you need kuipush engine ndogo zaidi kupata results ya engine kubwa.. Engine kubwa zina advantage inaproduce power effortless..! Rpms ndogo kwenye engine kubwa inatoa power kuliko same rpms kwenye engine ndogo..!
Huko ndio kufa kwa engine.. Piston na block ya engines ndogo haiwezi kulast kama mashine kubwa..!
Huyo aliyefikisha hizo kms kwenye hiyo gari ni mmoja kati ya wengi..
Usisahau knowledge is power..!
Yes experience na simple reasoning umeshindwa kuelewa engine ndogo ina life span ndogo..!!!
Pikipiki ya 150cc na 250cc blocks zake zitalast sawa..!!!? Hizi ndio simple reasoning..!
Output = max hp na max torque..Hapo output ipi unaizungumzia mkuu?
Yaani kitu kimoja ambacho mnajisahaulisha, kila engine hapo ni optimum kwenye gari husika.
Usiniambie eti 1VD kwenye 200kph itakuwa na rev ndogo sana kuliko 2.0 TDI ya audi.
Ulipotea sana nikahisi umekimbia..!Dah nimeshindwa nikujibu nini...
Design za engine za trucks siyo sawa na gari ndogo.
Kubishana kuhusu life span ilikuwa kati ya BMW na V8. Kuleta scania umeenda nje ya mjadala.
70 series na 80 series ni gari za kizamani. Hebu tuletee engine za kisasa ambazo zimegonga 1m km.
Life span za engine kwa gari ndogo hazitofautiani with exception kwenye fuel type.
Misunderstanding hapa.. Mimi naongelea engine kubwa na ndogo kwenye gari sawa..!BMW na V8 hazina same chassis...
Kila engine hapo italast longer kwa sababu kila gari hapo inapush mzigo tofauti na nyenzake.
Toleo la kwanza la IST kuna variant kadhaa unadhani zina uzito na size sawa. Google specs za gari yoyote then angalia uzito na size kama vipo fixed.
Ukiona gari mbili za aina moja zina engine tofauti. Basi hizo gari hazina uzito sawa. na huenda haiza size sawa.
Pia hizi engine hazipachikwi tu kwenye magari. Kwamba IST wameshindwa kuiwekea engine ya Cc600? unadhani haitatembea?
Kuna sababu kwanini wameanzia Cc1290. Hiyo ndio optimum point.
Truck ni gari ya biashara. Kazi yake ni kuwa barabarani muda wote.Dah nimeona nimechoka alivoleta SCANIA.
Trucks ambazo kila cylinder ina cylinder head yake individual kwa ajili ya heat disspation anataka afananishe na gari ndogo.
You come to my point.Aisee nahisi tunashindwa kuelewana..
Unaweka maeneo ambayo sijawahi kusema.. Hiyo ya 4.5 sijui umeitoa wapi..!!
Hiyo ADK ningekuwa naijua ningekuuliza Kilometers!!?
Unaongelea namba A ipo mpaka leo.. Ishu yetu ni Kilometers sio namba ya gari..!!!
Namba D ipi juu ya mawe..!!! Hakuna namba A.. B.. C.. juu ya mawe..!!?
Hakuna namba D iliyopo barabarani..!!?
Hizi ndio simple reasoning..
Theoretical..!!! Hata kabla ya kutengeneza engine ya gari lazima ufanye theory how itawork.. Usidharau hizo theories..
Rpm za kurelax ni zipi?Output = max hp na max torque..
Aisee unafahamu calculations za rpm hp n torque..!!!?
1vd kwenye 200kph rpms zake amerelax kabisa tofauti na hiyo 2.0tdi..!
Angalia stats za maximum rpms ya hizo engines mbili kwenye horsepower na torque..!
Aisee hivi unaelewa maana ya life span..!!!?You come to my point.
Jinsi unavyoitunza gari ndo jinsi inavyozidi kukupa mileage. Hasa upande wa engine. Jinsi unavyoitunza inavyotakiwa basi itadumu, manake huipi sababu ya kufa. Haijalishi iwe kubwa au ndogo.
Aisee kuna basic mechanisms za engine naona bado hujazipata..Rpm za kurelax ni zipi?
Kwamba 1vd ikiwa 200kph itakuwa kwenye 3000rpm na 2.0tdi ikiwa 200kph itakuwa ina rev at 8000rpm?
Aisee truck ni gari ya biashara!!!!Truck ni gari ya biashara. Kazi yake ni kuwa barabarani muda wote.
Truck inatembea km nyingi kwa mwezi kwasababu ni biashara.
Sasa gari ndogo inafika 500k si kazi ndogo, manake either imetumika muda mrefu sana au kwa siku inafanya trips nyingi sana.
Ila zaidi ya yote nilichoka niliposoma alipoandika gari ya 1.5l ikienda mwanza kesho yake haiwaki. Hakuna tofauti na wale mafundi wa chini ya mwembe.
Truck ni gari ya biashara. Kazi yake ni kuwa barabarani muda wote.
Truck inatembea km nyingi kwa mwezi kwasababu ni biashara.
Sasa gari ndogo inafika 500k si kazi ndogo, manake either imetumika muda mrefu sana au kwa siku inafanya trips nyingi sana.
Ila zaidi ya yote nilichoka niliposoma alipoandika gari ya 1.5l ikienda mwanza kesho yake haiwaki. Hakuna tofauti na wale mafundi wa chini ya mwembe.
Rpm za kurelax ni zipi?
Kwamba 1vd ikiwa 200kph itakuwa kwenye 3000rpm na 2.0tdi ikiwa 200kph itakuwa ina rev at 8000rpm?
Kwamba RPM ya 3000 ya 1VD hailalamiki ila RPM ya 3000 ya Audi 2.0L TDI inalalamika?Aisee kuna basic mechanisms za engine naona bado hujazipata..
2.0tdi ni diesel engine.. Umeshawahi kuona diesel engine ya gari yenye hizo rpms!!!?
Rpms za kurelax ukiwa unaendesha ndio unazifeel.. Gari hailalamiki..!