prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 192
Ulikata lini jaqfantasy212.nimekatia noa kwenye tawi la jubilee lilopo arusha.kwa 300000.
huchukua muda gani mtu kulipwa hundi kwa ajili ya gari mpya?
Ulikata lini jaqfantasy212.nimekatia noa kwenye tawi la jubilee lilopo arusha.kwa 300000.
Mgeni insurance,maxinsurance na jubelee.wako poa na hata ikitokea ishu wanalipa faster
Jubilee wanakata 3% ya thamani ya gari
Kweli mkuu yaani kuna watu wengi sana haki zao zinapotea kwa kupenda kukata bima kama mazoea, pia kuna wengi sana wanapigwa hasa kwa wale wanaopata ajali kwenye buses maana magari yote ya abiria yanakatiwa bima kubwa kutokana na idadi ya abiria lakini tunasisitizwa kufunga mkanda na kama gari inakwenda speed au kukiuka taratibu za usafiri tutoe taarifa lakini hatuambiwi endapo utapata ajali kuna taratibu za flani za kufuata (au kwa kuwa ajali ni dharula na inatokea sehemu ambayo hakuna ndugu kungewekwa utaratibu wa serikali kusimamia zoezi mara baada ya ajali kutokea na si huu utaratibu wa mmoja mmoja kufuatilia). Na ukiona bima imelipwa haraka haraka ujue huyo ni mtu maarufu sasa wanatumia mwanya huyo kujitangaza kibiashara)Tatizo jingine la Watu wengi hawasomi 'terms' zilizoko kwenye mikataba yao ya bima (policy). Lakini ni vyema mtu kupitia kwa Broker anayeheshimika, wao ni rahisi sana kufuatilia madai yako.
huchukua muda gani mtu kulipwa hundi kwa ajili ya gari mpya?