Hii bima (NHIF) ni lazima kwa wafanyakazi wote wa serikali utake usitake utakatwa makato kwenye mshahara wako kuchangia bima hii, kwa maneno mengine NHIF hupata mabilioni ya Tshs.
Kila mwezi kutoka katika michango wote wa Serikali, Kivumbi kinakuja mfanyakazi/wategemezi wake wanapotaka kwenda kutibiwa/kupata huduma za afya katika hospitali zilizoainishwa na Bima hiyo, haya ndo wanayokumbana nayo;
1. Kudharauliwa na watoa huduma (utasikia kama wewe wa Bima ya NHIF subiri, mara dawa hii bima hailipii.
2. Mkusanyiko/foleni kubwa ktk kupata huduma (jiandae siku nzima/masaa 12 kushinda hospitali husika).
3. Kuongezea pesa kutoka mfukoni mwa mgonjwa, pamoja na makato makubwa ya kila mwezi kuna baadhi ya huduma/vifaa tiba NHIF hutoa hela kiduchu sana, mfano miwani ya kusomea NHIF hutoa 25,000/= tu hebu niambieni miwani gani utapata kwa hela hiyo?
5. Baadhi ya magonjwa kutojumuishwa katika matibabu ya kutumia kadi ya NHIF
***NHIF kwani mwawapa wateja wenu hisani kupata huduma ya afya?
Kila mwezi kutoka katika michango wote wa Serikali, Kivumbi kinakuja mfanyakazi/wategemezi wake wanapotaka kwenda kutibiwa/kupata huduma za afya katika hospitali zilizoainishwa na Bima hiyo, haya ndo wanayokumbana nayo;
1. Kudharauliwa na watoa huduma (utasikia kama wewe wa Bima ya NHIF subiri, mara dawa hii bima hailipii.
2. Mkusanyiko/foleni kubwa ktk kupata huduma (jiandae siku nzima/masaa 12 kushinda hospitali husika).
3. Kuongezea pesa kutoka mfukoni mwa mgonjwa, pamoja na makato makubwa ya kila mwezi kuna baadhi ya huduma/vifaa tiba NHIF hutoa hela kiduchu sana, mfano miwani ya kusomea NHIF hutoa 25,000/= tu hebu niambieni miwani gani utapata kwa hela hiyo?
5. Baadhi ya magonjwa kutojumuishwa katika matibabu ya kutumia kadi ya NHIF
***NHIF kwani mwawapa wateja wenu hisani kupata huduma ya afya?