Jamani hii sasa kali maana kuna waalimu walienda kwa babu kule loliondo. Baada ya kupata kikombe babu akawaambia, "haya 500 yangu ?" Wakatoa bima ya afya, babu kachoka kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.