Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 261
- 295
Wakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
Umeajiriwa au umejiajiri?Wakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
Nimejiajiri mkuuUmeajiriwa au umejiajiri?
Nenda Ofisi za BIMA Mkoani kwako watakupa Package bora kwako..Nimejiajiri mkuu
Asante sana mkuuNenda Ofisi za BIMA Mkoani kwako watakupa Package bora kwako..
Au hudhuria Hospitali Yoyote ya Wilaya ,Mkoa,Kanda au Yoyote iliyokaribu na Wewe uliza kitengo cha Bima watakupa A,B,C uanze wapi
Utaratibu huo apoWakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..