Hata akinunua ndege, sisi yatuhusu nini kama bado Watanzania wengi (pengine wakiwepo baadhi ya ndugu zake yeye mwenyewe) wanaishi katika lindi la umasikini? Yanayotuhusu sisi Watanzania hatuyasemi, yanayowahusu watu binafsi ndo tuyavumishayo vijiweni!