accused
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,496
- 2,750
Kwa wale wa Arusha na wengineo mliomo katika construction industry mtakua mnajua vema bwana Lema au maarufu kama elerai.
Huyu ni mmiliki wa kampuni ya Elerai construction na pia Northern engineering. Ni kampuni zinazoanya vizuri sana hapa nchini especially kaskazini mwa tz.
Bwana Lema leo kapandishwa kizimbani kisutu akiunganishwa kwenye kesi ya yule bilionea wa million saba kwa kila dakika.
Kesi hyo haikueza sikilizwa kwa watuhumiwa kucheleweshwa kufika mahakamani na hivyo Lema na wenzie walipelekwa rumande hadi tarehe 26.