Bill Gates: Sipo tayari binti yangu kuolewa na masikini. Asema washinda kamari ni maskini pamoja na hela nyingi wanazoshinda

Ayo ni maneno tu ili isionekane katengeneza matabaka,

Ila kiuhalisia,
Kwa maisha ya sasa na wanawake wa sasa

Ile tu Kuingia kwenye moyo wake BILA PESA CASH inayoeleweka.

Aisee,
Mwanaume Utapata taaabu sana
JamiiForums1779766864.jpg
 
Binti yake pia anauwezo wa kutengeneza pesa au ndo akafaidi utajiri tu..?
 
Back
Top Bottom