Swali lako ni la msingi sana! jee hazina huwa inabaki na fedha za dharula kwa ajilio ya emergency za hivi? Sijui tutegemee pia fedha kama hizi zitatumika kwa suala la umeme?
Mimi sishangai kwa hilo, kama mtu mmoja ana trillion 3 itashindikanaje kwa selikari kupata hizo hela. Ndugu, hela za nchi hii zimekaliwa na watu, ziko kwenye account binafsi za watu. Dawa ya nchi hii ni kuchukuwa uamuzi wa Misri na Tunisia.Bajeti ya uchukuzi na mawasiliano wameongeza bilioni tisini na tano, mh? Zilikuwa wapi? Zimetoka wapi kwa usiku mmoja?
Bajeti ya uchukuzi na mawasiliano wameongeza bilioni tisini na tano, mh? Zilikuwa wapi? Zimetoka wapi kwa usiku mmoja?
<br><br><font size="4"><span style="font-family:arial black;"><strong>mnyika katoa hoja kuwa uhamishaji wa fedha za bajeti zilizoidhinishwa na bunge (for this case toka wizara ya miundombinu to uchukuzi) inabidi uletewe hoja mpya ijadiliwe bungeni lakini ktk uhamishaji huu uliofanyika hakuna hoja mpya juu ya uhamishaji huo iliyowasilishwa bungeni kuruhusu hilo kufanyika... BUT werema amejibu kua wabunge waliomba jana fedha ziongezwe so huo ni mjadala tosha kuruhusu uhamishaji huo kufanyika</strong></span></font><font size="4"><strong>Tundu lissu ameuliza hilo sasa hivi wanalijadili... jibu ni kuwa fedha hizo zimetoka ktk fungu la miradi maalumu ya barabara kutoka ktk bajeti ya wizara ya ujenzi/miundombinu! kuna kanuni zinaruhusu jambo hilo kutendeka</strong></font>
<br />Hapo ndiyo ujue, bongo tambarare kama wanavyoiita wao na kama wamechomoa kwenye bajeti nyingine mbona hawasemi??????? Yaani unajua jinsi Pinda alivyokuwa anasifiwa kwa umakini ameonekana ni hopless kabisa!!!!!1