Bilioni 87 ni sawa na asilimia 1.5 tu ya utajiri wake

Bilioni 87 ni sawa na asilimia 1.5 tu ya utajiri wake

Joined
Jun 19, 2014
Posts
54
Reaction score
100
Mohamed Dewji ana utajiri wa Usd 2.2 Billion sawa na Shilingi 5.83 Trilioni za kitanzania

Kwa hesabu rahisi:

87,000,000,000/5,830,000,000,000 * 100 = 1.49%

Hii ni chini ya asilimia mbili ya utajiri wake. Ni kama mtu mwenye milioni 10 kutoa elfu 150 tu kusaidia timu ya mtaa!
 
Mohamed Dewji ana utajiri wa Usd 2.2 Billion sawa na Shilingi 5.83 Trilioni za kitanzania

Kwa hesabu rahisi:

87,000,000,000/5,830,000,000,000 * 100 = 1.49%

Hii ni chini ya asilimia mbili ya utajiri wake. Ni kama mtu mwenye milioni 10 kutoa elfu 150 tu kusaidia timu ya mtaa!

Utajiri sio fedha pekee, katika hiyo 5.83 tril pengine robo yake tu ndio fedha...

Kwa Simba kawekeza fedha...
 
Tapeli mo hana hata bilioni 100 ni utapeli tu. Mashamba mengi na viwanda vyake ni mali ya serikali, yeye kakodi tu ila anawadanganya forbes kuwa ni mali yake. Huyu ni Ponjoro pori kabisa.
 
Mohamed Dewji ana utajiri wa Usd 2.2 Billion sawa na Shilingi 5.83 Trilioni za kitanzania

Kwa hesabu rahisi:

87,000,000,000/5,830,000,000,000 * 100 = 1.49%

Hii ni chini ya asilimia mbili ya utajiri wake. Ni kama mtu mwenye milioni 10 kutoa elfu 150 tu kusaidia timu ya mtaa!
Swali je Simba SC mnataka mafanikio ama utajiri wa muwekezaji
 
Mohamed Dewji ana utajiri wa Usd 2.2 Billion sawa na Shilingi 5.83 Trilioni za kitanzania

Kwa hesabu rahisi:

87,000,000,000/5,830,000,000,000 * 100 = 1.49%

Hii ni chini ya asilimia mbili ya utajiri wake. Ni kama mtu mwenye milioni 10 kutoa elfu 150 tu kusaidia timu ya mtaa!
Huo ni Mshahara wa mbape wa miezi 4🥱
 
Back
Top Bottom