mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,845
- 3,481
Ccm wapo kwa ajili ya uchaguzi tu si kwa mallengo ya kuleta maendeleo ya wananchi hii inajulikana
nitaleta data soon ya ujambazi wa CCM , wamechukua THS. BILIONI 1.8 toka TANAPA aidha pia MAMLAKA YA NGORONGORO wamechukua Bilioni 1.2 nimepokea vielelezo vya SONGAS wamechukua Bilioni 4 naendelea kuunganisha ushaiidi huu ili nimpe Dr. slaa na pia kuuwasilisha Benki ya Dunia na kwa wafadhili ili wachukue maamuzi.
Vyama vyote vya siasa vinafanya fundraising...sasa tatizo liko wapi ? Ukitoa malalamiko ni vizuri kuthibitisha au sio inakuwa ni majungu tu!
Hata Dr Slaa akifia majukwaani kwa kuwaeleza wananchi wizi huo wa CCM wqananchi wengin hawatomuelewa kabisa. Wengi kwanza hawajui TANAPA ni nini.
CCM inajua inachokifanya kwa kutambua kuwa nchi hii is blessed with teeming herds of sheep instead of humans!