Tayari CCM imeshayakamua makampuni mbalimbali yaliyopo tanzania. Mpaka sasa imekusanya tzs bilioni 40, lengo ni bilioni 50(milioni 50,000.00). Kisa... Kampeni!
...kwangu hiki ni kielelezo cha ujinga wa viongozi wetu, hawaangalii upande wa pili. Kampuni hizi kesho zikikwepa kodi utazilaumu? Kesho zikichota fedha BOT utazilaumu? Kesho zikipora ardhi za wananchi utakuwa na ujasiri wa kukemea? Kesho zikijenga barabara feki utaweza kuchukua hatua??? ...nani hasa anayeumia?
...kwanini chama kisichangiwe na wanachama wake kama ilivyo kwa wenzetu???
...kwangu hiki ni kielelezo cha ujinga wa viongozi wetu, hawaangalii upande wa pili. Kampuni hizi kesho zikikwepa kodi utazilaumu? Kesho zikichota fedha BOT utazilaumu? Kesho zikipora ardhi za wananchi utakuwa na ujasiri wa kukemea? Kesho zikijenga barabara feki utaweza kuchukua hatua??? ...nani hasa anayeumia?
...kwanini chama kisichangiwe na wanachama wake kama ilivyo kwa wenzetu???