mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Mfanyabiashara mkubwa Reginald Mengi ameshusha tuhuma nzito kuwa Serikali ya Tz imerejeshewa fedha ilizoibiwa kwa njia ya rushwa miaka miwili iliyopita na mfanyabiashara ambaye hakuona hata haya kujitangaza hadharani kuwa alipokea fedha hizo kama rushwa na baada ya miaka miwili akagundua kuwa ni rushwa ameamua kuirejeshea serikali nayo imeipokea kwa mikono miwili na kumsifu kwa moyo wake wa kijasiri!!!!! dah kwa mtindo huu wezi zote siyo wameiba hata wewe aliyekuibia muombe tu akurudioshie yaishe!!source ITV