Bilionea Saniniu Laizer ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
Bilionea wa Tanzanite Saniniu Laizer leo ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya pamoja na Uongozi wa TANTRADE.
1594559570820.png

1594559603366.png
 
Back
Top Bottom