Imagine kwa mwezi wanakusanya sh ngap?sema nini hili chama la wakubwaVyama vya wafanyakazi nchi hii ni vyama vya kifisadi.
Yaani vinaumiza wafanyakazi kuliko hata Mwajiri ( serikali ).
Zaidi ya 60% ya watumishi wa serikali nchi hii ni walimu. CWT wanakata 2% ya mshahara kwa kila mfanyakazi kwa kila mwezi lakini eti bado kujenga ofisi tu mpaka wachangiwe.
Upuuzi mtupu.
aache ushamba, avae nguo nzuri na viatu vizuri sasa, na asaidie wamasai wenzake wanaopigwa baridi maporini huko kuliko kujifanya ana hela za kutoa misaada. lets be real, hivi laiza ni wa kutoa misaada? ukipita maporini huko vitoto vya kimasai vimepigwa baridi na jua hadi nnzi wanajaa kwenye macho, hawajapiga mswaki hawajaoga hawana maji, awachimbie visima vya maji wanyeshe hata ng'ombe tu, chakula ni cha shida....
kwahiyo kwa tafsiri yako kubadili utamaduni au kubadili mavazi ndo civilization?umetoka kijijini kwenu umebadilika lakini hiyo Kijiji we umeisaidia nini ?umepeleka maji au unampangia mtu matumizi yake na bla bla ,akiichangia taasisi na hiyo taasisi ikaboreshwa Ina maana taasisi itatoa huduma nzuri kwa jamii Ile Ile tena Simanjiro.unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
Sawa Bwana Mdogo ila kaa ukijua Laiza pesa alikuwa nayo kabla ya kukabidhiwa hiyo billion 7nyumba/boma lake nalijua, ni la kawaida tu. ukweli uzungumzwe, ukipata hela unatakiwa kubadilisha maisha ule raha, sio kuishi maisha yaleyale ya longido.
Uupuuzi mtupu CWT inahusiana vipi na ufanisi wa kazi kwa walimu,hyo hela ungeongezea kwenye ujenzi nyumba za walimu ndo ngekuona wa maana ila CWT??
Hata akitoa fedha zake zote hatawafikisha popote.Kwaiyo mkuu unataka Laizer asaidie wamasai wote duniani??? Ebu fikirisha akili kabla yakujibu tajiri anasaidia taasisi Kama shule, Barabara, Hospital, kanisa, misikiti n.k sio kwenda maporini nakuanza kugawa fedha huko Laizer kasaidia wengi tu kama hujui kitu nibora kuwa kimya usipaniki
Mkuu weka akiba ya maneno..unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
Hata mi nimeshangaaKuwa changia CWT hakuna maana... CWT ni wezi tu wanaokusanya michango ya walimu pasipo kuwasaidia walimu kupata haki na stahili zao...
Angewasaidia yatima ingekuwa safi
Ni chuki tu. 😀Kwaiyo mkuu unataka Laizer asaidie wamasai wote duniani??? Ebu fikirisha akili kabla yakujibu tajiri anasaidia taasisi Kama shule, Barabara, Hospital, kanisa, misikiti n.k sio kwenda maporini nakuanza kugawa fedha huko Laizer kasaidia wengi tu kama hujui kitu nibora kuwa kimya usipaniki
Kwa hio mkuu akivaa kimasai hawi bilionea ila akivaa kiswahili au kizungu. Yani lazima avae siruali.unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
hayo ni mawazo yangu tu,weka yako. period.Kwa hio mkuu akivaa kimasai hawi bilionea ila akivaa kiswahili au kizungu. Yani lazima avae siruali.
Hivi masai wakitoka hiko porini hapo mjini patakalika, mnamazizi ya kutunza ng'ombe 600
- 3000 za masai mmoja?
Aylu unataka vita itokee maana watalisha hata vibustani vyenu vya mchicha mtavumilia?
Masai na wasukima na wagogo na wamang'ati nawaomba msije mjini wengine hatujazoea mapanga.
Mbona unaingilia uhuru wa mtuaache ushamba, avae nguo nzuri na viatu vizuri sasa, na asaidie wamasai wenzake wanaopigwa baridi maporini huko kuliko kujifanya ana hela za kutoa misaada. lets be real, hivi laiza ni wa kutoa misaada? ukipita maporini huko vitoto vya kimasai vimepigwa baridi na jua hadi nnzi wanajaa kwenye macho, hawajapiga mswaki hawajaoga hawana maji, awachimbie visima vya maji wanyeshe hata ng'ombe tu, chakula ni cha shida....
nimeshauri. ndio maana sijamlazimisha. najua hata humu jf hayupoMbona unaingilia uhuru wa mtu
Kati ya kabila lilobalikiwa hapa Tanzania ni masai. Yani mtu mmoja anapata bilioni 7 kwetu kigoma uvue samaki wa miaka 2 tena wavuvi wote wachange samaki zao, hapo bado ng'ombe bado mbuga za wanyama. Nyie masai wamebarikiwa.Sawa Bwana Mdogo ila kaa ukijua Laiza pesa alikuwa nayo kabla ya kukabidhiwa hiyo billion 7
So akili zako kisoda zinazodefine mafanikio kwa kuangalia nguo MTU alizovaa siku nyingine zisikutume kuja kuandika utumbo jamii forum
So ww ukikutana na kijana kala sut unasema huyu maisha kayapatia?
Siyo CCM bali ni Jiwe na watoa zawadi ya jogoo
Hahaahhaaa kaondoka na jina lakeBillionaire Wa Mzilankende
Mpaka hapo wewe ndio mwenye tatizo sio Laizernyumba/boma lake nalijua, ni la kawaida tu. ukweli uzungumzwe, ukipata hela unatakiwa kubadilisha maisha ule raha, sio kuishi maisha yaleyale ya longido.