Japhet Maganga Katibu Mkuu wa chama Cha WALIMU (CWT) akipewa mrejesho na Mchange tayari amepokea kiasi cha Shilingi milioni moja aliyoituma

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
879
956
Taarifa zinasema bwana Maganga alimuomba Mkurugenzi huyo wa JAMVILAHABARI wakutane wayamalize ili Gazeti lake liache kuandika kuhusiana na habari za utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na viongozi hao wa CWT dhidi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kukaidi uteuzi aliowateua kuwa wakuu wa wilaya za Mbogwe na Kyerwa.

Katika ushawishi wa Maganga Kwa JAMVILAHABARI aliomba atangulize kitu kidogo wakati wanafanya mpango wa kuandaa taarifa kwa umma na kukutana wamalizane.

Maswali bado ni mengi kuhusiana na ni Nani aliyepo nyuma ya Vigogo hawa wa CWT kiasi cha kumkaidi Rais wa Nchi lakini badi wanaendelea kutumia ofisi za umma (Chama cha WALIMU)View attachment 2665460
Screenshot_20230622-162355.jpg
 
Nchi hii bado tuna safari ndefu sana..
Kwa hiyo changamoto zote wanazokabiliana nazo viongozi hawa wakuu wa C.W.T, kisa kukataa uteuzi wa Rais??
Kwani ni lazima kuteuliwa??
Kwani Rais amekuwa na nguvu hadi ya kuingilia uhuru binafsi wa raia wake?
Acheni hizo bhana, waacheni watu wa watu wafanye kazi zao.
 
Taarifa zinasema bwana Maganga alimuomba Mkurugenzi huyo wa JAMVILAHABARI wakutane wayamalize ili Gazeti lake liache kuandika kuhusiana na habari za utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na viongozi hao wa CWT dhidi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kukaidi uteuzi aliowateua kuwa wakuu wa wilaya za Mbogwe na Kyerwa.

Katika ushawishi wa Maganga Kwa JAMVILAHABARI aliomba atangulize kitu kidogo wakati wanafanya mpango wa kuandaa taarifa kwa umma na kukutana wamalizane.

Maswali bado ni mengi kuhusiana na ni Nani aliyepo nyuma ya Vigogo hawa wa CWT kiasi cha kumkaidi Rais wa Nchi lakini badi wanaendelea kutumia ofisi za umma (Chama cha WALIMU)View attachment 2665460View attachment 2665461
Kwani kila mtu anaweza kuwa mkuu wa wilaya?
 
Gazeti lenyewe la kuuzia vitumbua nani ana lifahamu, takataka nyie
 
Taarifa zinasema bwana Maganga alimuomba Mkurugenzi huyo wa JAMVILAHABARI wakutane wayamalize ili Gazeti lake liache kuandika kuhusiana na habari za utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na viongozi hao wa CWT dhidi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kukaidi uteuzi aliowateua kuwa wakuu wa wilaya za Mbogwe na Kyerwa.

Katika ushawishi wa Maganga Kwa JAMVILAHABARI aliomba atangulize kitu kidogo wakati wanafanya mpango wa kuandaa taarifa kwa umma na kukutana wamalizane.

Maswali bado ni mengi kuhusiana na ni Nani aliyepo nyuma ya Vigogo hawa wa CWT kiasi cha kumkaidi Rais wa Nchi lakini badi wanaendelea kutumia ofisi za umma (Chama cha WALIMU)View attachment 2665460View attachment 2665461
Acha ujinga tafuta pa kwako
 
Nchi hii bado tuna safari ndefu sana..
Kwa hiyo changamoto zote wanazokabiliana nazo viongozi hawa wakuu wa C.W.T, kisa kukataa uteuzi wa Rais??
Kwani ni lazima kuteuliwa??
Kwani Rais amekuwa na nguvu hadi ya kuingilia uhuru binafsi wa raia wake?
Acheni hizo bhana, waacheni watu wa watu wafanye kazi zao.
Wamekata teuzi kwa sababu wana makandokando Yao mwengi Sana wamejiua yangefukuliwa
 
Ni upumbavu na ulofa wa hali ya juu kulazimisha uteuzi wa rais.kwani rais ni nani hadi asikataliwe?siyo watu wote wanapenda kuwa mtumwa wa mtu.bora hizo nafasi zingepatikana kwa njia nyingine na siyo uteuliwe ili uwe mtiifu kwake hata kwa mambo ya hovyohovyo kama ya Dp world
 
Taarifa zinasema bwana Maganga alimuomba Mkurugenzi huyo wa JAMVILAHABARI wakutane wayamalize ili Gazeti lake liache kuandika kuhusiana na habari za utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na viongozi hao wa CWT dhidi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kukaidi uteuzi aliowateua kuwa wakuu wa wilaya za Mbogwe na Kyerwa.

Katika ushawishi wa Maganga Kwa JAMVILAHABARI aliomba atangulize kitu kidogo wakati wanafanya mpango wa kuandaa taarifa kwa umma na kukutana wamalizane.

Maswali bado ni mengi kuhusiana na ni Nani aliyepo nyuma ya Vigogo hawa wa CWT kiasi cha kumkaidi Rais wa Nchi lakini badi wanaendelea kutumia ofisi za umma (Chama cha WALIMU)View attachment 2665460View attachment 2665461
Pumbavu sana.....
Nyinyi chawa ni ma Lumpen kisawasawa...
 
Nchi hii bado tuna safari ndefu sana..
Kwa hiyo changamoto zote wanazokabiliana nazo viongozi hawa wakuu wa C.W.T, kisa kukataa uteuzi wa Rais??
Kwani ni lazima kuteuliwa??
Kwani Rais amekuwa na nguvu hadi ya kuingilia uhuru binafsi wa raia wake?
Acheni hizo bhana, waacheni watu wa watu wafanye kazi zao.
Hiyo ni vita, huyu Pendo na Kitenge ni wala rushwa wakubwa, sakata la Loliondo walipewa rushwa na mwarabu wakaenda kule kuhalalisha, wajinga sn na wala rushwa
 
Ni upumbavu na ulofa wa hali ya juu kulazimisha uteuzi wa rais.kwani rais ni nani hadi asikataliwe?siyo watu wote wanapenda kuwa mtumwa wa mtu.bora hizo nafasi zingepatikana kwa njia nyingine na siyo uteuliwe ili uwe mtiifu kwake hata kwa mambo ya hovyohovyo kama ya Dp world
Ndiyo wametumwa hawa wala rushwa Kitenge na Pendo
 
Taarifa zinasema bwana Maganga alimuomba Mkurugenzi huyo wa JAMVILAHABARI wakutane wayamalize ili Gazeti lake liache kuandika kuhusiana na habari za utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na viongozi hao wa CWT dhidi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kukaidi uteuzi aliowateua kuwa wakuu wa wilaya za Mbogwe na Kyerwa.

Katika ushawishi wa Maganga Kwa JAMVILAHABARI aliomba atangulize kitu kidogo wakati wanafanya mpango wa kuandaa taarifa kwa umma na kukutana wamalizane.

Maswali bado ni mengi kuhusiana na ni Nani aliyepo nyuma ya Vigogo hawa wa CWT kiasi cha kumkaidi Rais wa Nchi lakini badi wanaendelea kutumia ofisi za umma (Chama cha WALIMU)View attachment 2665460View attachment 2665461
Umenyimwa rushwa mjinga wewe tunakujua sn
 
Back
Top Bottom