Bilionea Richard Branson: Ni mwanzo mzuri sana kwa Air Tanzania

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,428
Akifanya mazungumzo na mtangazaji wa kipindi cha Africa Business Report ,sept 11 bibi Lerato Mbele, bilionea Richard Branson ameipongeza Air Tanzania kwa hatua kubwa iliyoifanya ya kuwa na ndege mbili katika kipindi cha muda mfupi.

Bwana Branson alidai biashara ya usafiri wa anga ni tofauti sana na watu wanavyodhani "sio ndege zote zinazotua viwanja vingi duniani ndio zinazotengeneza faida zaidi, kuna kipindi Atlantic Airlines iliyokuwa na ndege kila kona ya dunia ilikuwa inatengeneza faida ndogo ukilinganisha na AirAsia ambayo ilikuwa na ndege ambazo zilikuwa zinatua Malaysia pekee, business modal is what determines the winner,Air Tanzania should go with the no frill services" alisema.

Alidai anafuatilia karibia mashirika yote ya ndege duniani, " I know every loser and every winner in this business,name any and I can tell you whether is losing or winning"
Tycoon huyo wa Virgin American Airlines yuko barani Africa kwa ajili ya mapumziko
 
Akifanya mazungumzo na mtangazaji wa kipindi cha Africa Business Report ,sept 11 bibi Lerato Mbele, bilionea Richard Branson ameipongeza Air Tanzania kwa hatua kubwa iliyoifanya ya kuwa na ndege mbili katika kipindi cha muda mfupi.
Bwana Branson alidai biashara ya usafiri wa anga ni tofauti sana na watu wanavyodhani "sio ndege zote zinazotua viwanja vingi duniani ndio zinazotengeneza faida zaidi, kuna kipindi Atlantic Airlines iliyokuwa na ndege kila kona ya dunia ilikuwa inatengeneza faida ndogo ukilinganisha na AirAsia ambayo ilikuwa na ndege ambazo zilikuwa zinatua Malaysia pekee, business modal is what determines the winner,Air Tanzania should go with the no frill services" alisema.
Alidai anafuatilia karibia mashirika yote ya ndege duniani, " I know every loser and every winner in this business,name any and I can tell you whether is losing or winning"
Tycoon huyo wa Virgin American Airlines yuko barani Africa kwa ajili ya mapumziko
Kwa hiyo ametathmini business model ya tanzania akaona tuta-win?
 
Utiti

UtitirI wa wafanyakazi not a problem ..fjet wanapunguza wafsnyakazi for info wanapunguzwa WATU NA wanaajiriwa qualified one sioni shida iko wapi mmecream atcl as a loosed not real
Wewe huoni kuwa utitiri wa wafanyakazi unaongeza operational costs!!?

FastJet wanapunguza kuepuka hizo gharama!! By the way, hao hao walioliua shirika ndiyo wanategemewa kulifufua!!
 
Huu sio mwanzo wa ATC. ATC ilianzishwa mwaka 1977 na serikali ikaipa ndege 10 mpya (Boeing 737-200 mbili [abiria 110 kila moja], Fokker nne [abiria 50 kila moja] na Twin Otta nne [abiria 15 kila moja]).

Kilichotokea hadi serikali itumie tena pesa ya walipa kodi 'kuanzisha ATC upya' ndicho hasa kinatakiwa kijadiliwe. Sisi ni taifa la aina gani ambalo halipigi hatua mbele kila baada ya muda fulani tunaanzisha upya shirika la ndege?

Ukweli ni kwamba sababu zilizosababisha ATC idorore na kufa bado ziko pale pale. Kifupi ni kwamba hakuna shirika la umma la kibiashara litakalofanikiwa kama linaendeshwa katika mazingira ya kuingiliwa kisiasa (na wanasiasa).
 
HUYO JAMAA BRANSON NI FREEMASON ALIYEKUBUHU TUWE NAYE MAKINI ASIJE AKATOA KAFARA KWENYE NDEGE ZETU
 
Mwongeze BAK na Salary Slip kwenye hiyo listi.
Niongeze na mimi! Mtoto mchanga akianza kutambaa ni Mwanzo mzuri! Ila baba zima lililokuwa linakimbia mitaani na marafiki zake ukiona limerudia kutambaa si mwanzo mzuri ila ni mwanzo mpya!! Tulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapa!!

Richard bronson hakupaswa tu kuishia kusifu ndege hizo ambazo tulishakuwa na zaidi ya hizo,labda angesifu mkakati mipya tunayoanza Nayo ili tufikie kukimbia kulingana na umri wetu! Maana hata hizi mbili zikitokomea huko zilikotokomea zile Boeing na tukanunua vi Cesna mzungu atakwambia tu !!

Mwanzo mzuri! Hata tungenunua vibajaji mzungu angesema hivyo hivyo!! Mwanzo mzuri though!!
 
Back
Top Bottom