LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Polis washaanza, aibu sana wanatuharibia uchaguzi wetu bure
Tulia Mbeya Tulia alianza kitambo sana, Kule mara waitara anagawa rushwa mchana kweupe, polis wapo tuHuyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
huyoKwani huyo ni mtoto wa Malima?
Mtahangaika sanaAnamtikisa baba ake uko kwao na wewe kiwete wa mawazo................ngoja tra watupe mrejesho kama analipa kodi kwanza........
Hilo zengwe amejiundia mwenyewe...watu wanawanatangaza Nia bila shamra shamra lakini yeye anafanya maandamano Kama siyo ujuha ni Nini Sasa??Hii ndio Tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema.
Kwani sheria zinasemaje. Ni marufuku kufanya hivyo?Hilo zengwe amejiundia mwenyewe...watu wanawanatangaza Nia bila shamra shamra lakini yeye anafanya maandamano Kama siyo ujuha ni Nini Sasa??
Jua kali atapasuliwa vibaya sanaBilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA
Masharti ya CCM Yana apply vipi CDMHilo zengwe amejiundia mwenyewe...watu wanawanatangaza Nia bila shamra shamra lakini yeye anafanya maandamano Kama siyo ujuha ni Nini Sasa??
Ndiyo sheria inasema ni marufukuKwani sheria zinasemaje. Ni marufuku kufanya hivyo?
Wekeni hiyo sheria hapa
CCM na Chadema vyote vipo TZ...CCM haina masharti dhidi ya Chadema..Bali sheria na sheria zipo kwa vyama vyote...Masharti ya CCM Yana apply vipi CDM
Sio hakuleta mbwembwe hana wapambe hata kidogo uyo mzee wenuMuwage na akili ata kidogo, JPM mwenye kisu mwenyewe kachukua fomu kimyakimya na ndinga yake akasepa, wewe ndo ulete mbwembwe?
wewe unalipa?Kwanza huyu bwege si bilionea,analipa kodi kweli huyu?
Acha kumsingizia,hajawahi kujiita mtume!Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA
Kaandika wapi billionea wa CDM. Au na ww ni Mataga?Kwa hiyo tukisema kwa mfano; Mwalimu Nyerere wa Chama Cha Mapindunzi.Halafu aibuke mtu aseme hakujawahi kuwa na Mwalimu wa CCM,ACT,CUF n.k UTAMWELEWAJE...Bilionea wa CHADEMA?Maana yake ni nini,ungeweza kuandika vizuri tu,hakuna bilionea wa CHADEMA,CCM,ACT,TADEA,TLP wala cuf.Tutumie jukwaa vizuri,kizazi kisichokuwa na chuki wala uchonganishi ni faida kwa Taifa.
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.Kaandika wapi billionea wa CDM. Au na ww ni Mataga?Kwa hiyo tukisema kwa mfano; Mwalimu Nyerere wa Chama Cha Mapindunzi.Halafu aibuke mtu aseme hakujawahi kuwa na Mwalimu wa CCM,ACT,CUF n.k UTAMWELEWAJE...
Au wakisema Jembe John Pombe Magufuli wa CCM apata asilimia "100" ya kura zote,halafu aibuke mtu aseme hakuna Jembe la CCM,CDM,CUF n.k
Elewa tu huyo dogo anajiita Billionea kama jina au cheo cha kujipa,hatujui kama anazo hizo hela au lah....
Pale juu imeandikwa Bilionea Daniel Shila .... Chadema SIO Bilionea wa Chadema ....Daniel Shila. Kama hizo sentensi zina maana sawa basi uko sawa.Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi sio MATAGA,Naamini pia mwalimu wangu wa Kiswahili Mwl Moshi alinifundisha vyema kuelewa lugha,sasa ukisoma hapo nadhani unaweza kuona na kuelewa.