Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Nabii Shilla ambaye ni Mchungaji wa haya makanisa madogo madogo, amedai kanisa lake limefutiwa usajili baada ya yeye kutabiri kupitia facebook kwamba mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA pale Kinondoni atashinda.
Nabii Shilla amesema yeye aliongozwa na Mungu kutoa unabii ule hivyo haogopi chochote. Amedai kuwa ametakiwa kuripoti kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama mjini Dodoma kesho, hivyo atakwenda kuitikia wito hata kama ni kwa miguu.
Chanzo: Ayo Tv
Nabii Shilla amesema yeye aliongozwa na Mungu kutoa unabii ule hivyo haogopi chochote. Amedai kuwa ametakiwa kuripoti kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama mjini Dodoma kesho, hivyo atakwenda kuitikia wito hata kama ni kwa miguu.
Chanzo: Ayo Tv