Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,102
- 2,152
Mbona sielewi umemaanisha nini.
Na wewe umejipa nini?Umejipa mwenyewe.
Chamaa ndio nini mkuu?Tatzo we chalii wa ufipa unawivu tu ,sijaona chamaa ulichoandika zaidi ya upupu ulitaka aje baba yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha, jasusi usipanick. Tulia ili uandike kakitabu kengine.Na wewe umejipa nini?
Rudia rudia kujisomea tuMbona sielewi umemaanisha nini.
Jibu nilichouliza mkuuHa ha ha, jasusi usipanick. Tulia ili uandike kakitabu kengine.
Unalazimisha jibu?Jibu nilichouliza mkuu
Daaah sio poa acha kumuandama Dada wa watuMmmh ndo maana hata mkiolewa Mnaachika ..... Unamuombeaje mwenzio mabaya ??? .... Tenda wema nenda zako ...hayo ni mawazo yake lakin mawazo yako umeyatolea sijui wapi hayahusiani kabisa na mada .... Freedom of speech jf
Don't put all egg on one Basket
Yapo mambo nikiwaangalia na kuwasikiliza waswahili wenzangu nabaki kucheka na kujionea huruma mimi na wanizungukao... Nchi yangu imekuwa nchi ya ngano za vibarazani na uongo wa mchana kweupe ambao hata mmiliki wa uongo yule apewaye jina baya japo kimsingi simbaya yule aitwaye shetani anatuogopa...
Bill Gates kaja kuwekeza Tanzania? Bill Gates kaja kwakuwa anaipenda Tanzania saaaanaaa? Daah my God... Uwekezaji ni sayansi inayouhusu utafiti na faida sio siasa, ni jambo mtambuka linalozingatia sera za taifa unalotaka kuwekeza na hulka za wanamaamuzi wa eneo husika. Naipenda sana nchi yangu, lakini uongo huu hauwezi kuwa tiketi ya uzalendo... Uzalendo wa aina hii siutaki kabisa.
Ulale pema peponi bilionea Faustine Mrema, ulikuwa alama ya ukwasi Duniani, uliitambulisha nchi yetu machoni pa dunia, wewe ndio umewaleta mataifa na mahasidi pamoja katika ardhi ya Tanzania.
Na Yericko Nyerere
View attachment 564818 View attachment 564819
Hana akili huyo Mkuu.Jiongeze kidogo .
Jibu nilichouliza mkuu