Bilionea Bill Gates na uongo wa Taifa

Bilionea Bill Gates na uongo wa Taifa

Yapo mambo nikiwaangalia na kuwasikiliza waswahili wenzangu nabaki kucheka na kujionea huruma mimi na wanizungukao... Nchi yangu imekuwa nchi ya ngano za vibarazani na uongo wa mchana kweupe ambao hata mmiliki wa uongo yule apewaye jina baya japo kimsingi simbaya yule aitwaye shetani anatuogopa...

Bill Gates kaja kuwekeza Tanzania? Bill Gates kaja kwakuwa anaipenda Tanzania saaaanaaa? Daah my God... Uwekezaji ni sayansi inayouhusu utafiti na faida sio siasa, ni jambo mtambuka linalozingatia sera za taifa unalotaka kuwekeza na hulka za wanamaamuzi wa eneo husika. Naipenda sana nchi yangu, lakini uongo huu hauwezi kuwa tiketi ya uzalendo... Uzalendo wa aina hii siutaki kabisa.

Ulale pema peponi bilionea Faustine Mrema, ulikuwa alama ya ukwasi Duniani, uliitambulisha nchi yetu machoni pa dunia, wewe ndio umewaleta mataifa na mahasidi pamoja katika ardhi ya Tanzania.

Na Yericko Nyerere
View attachment 564818 View attachment 564819

Yaani wewe jamaa ungekua na IQ kubwa ungesumbua sana
 
polisi wakikukamata tena naomba wasikupe dhamana . alosema bg kaja kuwekeza tz nani.anatoa tu msaada haitaji kitu chochote
 
polisi wakikukamata tena naomba wasikupe dhamana . alosema bg kaja kuwekeza tz nani.anatoa tu msaada haitaji kitu chochote
Mmmh ndo maana hata mkiolewa Mnaachika ..... Unamuombeaje mwenzio mabaya ??? .... Tenda wema nenda zako ...hayo ni mawazo yake lakin mawazo yako umeyatolea sijui wapi hayahusiani kabisa na mada .... Freedom of speech jf

Don't put all egg on one Basket
 
Wachach watakuelew bro

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Yapo mambo nikiwaangalia na kuwasikiliza waswahili wenzangu nabaki kucheka na kujionea huruma mimi na wanizungukao... Nchi yangu imekuwa nchi ya ngano za vibarazani na uongo wa mchana kweupe ambao hata mmiliki wa uongo yule apewaye jina baya japo kimsingi simbaya yule aitwaye shetani anatuogopa...

Bill Gates kaja kuwekeza Tanzania? Bill Gates kaja kwakuwa anaipenda Tanzania saaaanaaa? Daah my God... Uwekezaji ni sayansi inayouhusu utafiti na faida sio siasa, ni jambo mtambuka linalozingatia sera za taifa unalotaka kuwekeza na hulka za wanamaamuzi wa eneo husika. Naipenda sana nchi yangu, lakini uongo huu hauwezi kuwa tiketi ya uzalendo... Uzalendo wa aina hii siutaki kabisa.

Ulale pema peponi bilionea Faustine Mrema, ulikuwa alama ya ukwasi Duniani, uliitambulisha nchi yetu machoni pa dunia, wewe ndio umewaleta mataifa na mahasidi pamoja katika ardhi ya Tanzania.

Na Yericko Nyerere
View attachment 564818 View attachment 564819
Kwa sasa huna lolote zaidi ya Ukuwadi wa kuwatetea Wachaga ili angalau mkono uende kinywani
 
Back
Top Bottom