All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,452
- 2,571
Sio la maana ndiomaana hujalielewaKwaiyo hapo unaona umeandika la maana saaaaana?
Unabwabwaja tu pasi na hoja ya msingi
Marehemu huongea, nalo hujui kabisa?
Huyu jasusi amebaki kuwa kichekesho, kwisha kazi yake.
wewe ni mpotoshaji na una kiherehere una pepo la uchochezi .na kwa vile watanzazia wengi ni wajinga basi unapata wafuasi unavimba kichwaUmeelewa nini katika andiko hili binti?
kuna mambo mengi sana ya kuandika kugusu bill gates .mbona ukamuandika kama ulivoandika hapoUmeelewa nini katika andiko hili binti?
Nimepotosha nini na wewe ni nani mpaka useme nimepotosha na nina pepo la uchochezi?wewe ni mpotoshaji na una kiherehere una pepo la uchochezi .na kwa vile watanzazia wengi ni wajinga basi unapata wafuasi unavimba kichwa
Kwanini wewe usiandike?kuna mambo mengi sana ya kuandika kugusu bill gates .mbona ukamuandika kama ulivoandika hapo
Nani kanipa ujasusu huo mkuu?Huyu jasusi amebaki kuwa kichekesho, kwisha kazi yake.
Unajua maana ya kudonate?nimeshajiongeza hadi anachotaka kumaanisha lkn bado inaonekana anataka kutuaminisha hata huu sio uwekezajihttp://www.thecitizen.co.tz/News/Bill-gates-donates-Sh777-billion-to-Tanzania/1840340-4052706-msxj8xz/index.html
Wewe kapuku tuu hata hapo ufipani sio wote wanaokutambua sembuse duniani!??Mimi nilijiunga twita nikiwa Urusi (VKontakte) lakini haijawahi kuwa habari.
Umejipa mwenyewe.Nani kanipa ujasusu huo mkuu?
Hahaha Boya la Kapuku!!Wewe kapuku tuu hata hapo ufipani sio wote wanaokutambua sembuse duniani!??
hahahaha!Mimi nilijiunga twita nikiwa Urusi (VKontakte) lakini haijawahi kuwa habari.
...habari ni kuwa unakaa mahali kusiko na anwani,Mimi nilijiunga twita nikiwa Urusi (VKontakte) lakini haijawahi kuwa habari.
Tatzo we chalii wa ufipa unawivu tu ,sijaona chamaa ulichoandika zaidi ya upupu ulitaka aje baba yakoYapo mambo nikiwaangalia na kuwasikiliza waswahili wenzangu nabaki kucheka na kujionea huruma mimi na wanizungukao... Nchi yangu imekuwa nchi ya ngano za vibarazani na uongo wa mchana kweupe ambao hata mmiliki wa uongo yule apewaye jina baya japo kimsingi simbaya yule aitwaye shetani anatuogopa...
Bill Gates kaja kuwekeza Tanzania? Bill Gates kaja kwakuwa anaipenda Tanzania saaaanaaa? Daah my God... Uwekezaji ni sayansi inayouhusu utafiti na faida sio siasa, ni jambo mtambuka linalozingatia sera za taifa unalotaka kuwekeza na hulka za wanamaamuzi wa eneo husika. Naipenda sana nchi yangu, lakini uongo huu hauwezi kuwa tiketi ya uzalendo... Uzalendo wa aina hii siutaki kabisa.
Ulale pema peponi bilionea Faustine Mrema, ulikuwa alama ya ukwasi Duniani, uliitambulisha nchi yetu machoni pa dunia, wewe ndio umewaleta mataifa na mahasidi pamoja katika ardhi ya Tanzania.
Na Yericko Nyerere
View attachment 564818 View attachment 564819