Bilion 100 zapotea BOT baada ya Silvanus Likwellile kutemwa!

Bilion 100 zapotea BOT baada ya Silvanus Likwellile kutemwa!

Ni wiki hii tu kumefanyika mabadiliko ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, leo imeripotiwa kuna bilion 100 zimeyeyuka BOT.

Kuna gazeti limeripoti ngoja litafutwe.
Sasa si ulitaje Ili owe Rahisi kulipata?
 
Tunao jitambua tunapiga kazi ajira baadae na si kukaa na kuisubiri. Kama pesa zinapotea kiasi hicho,kwa nini usijiulize kuwa viwanda vitajengwaje? Muda huu unapinga taarifa za kupotea kwa pesa kana kwamba hutaki ijulikane,unajitambua kweli wewe?[/QUOTE
tena unaweza kukuta una dhiki kuliko mtu yeyote humu jf..kujishaua kote kwa kazi gani...kama unapiga kazi ajira badae ili uifanyie nn...wajibu wa serikali ni kucreate ajira na sio graduates kubeba magunia kwa kisingizio cha kujitambua
 
Acheni uwongo. Likwelile alikuwa naweka hizohela yeye kwenye kabati lake? Fedha za serikali bil 100 zina utaratibu mrefu wa kutolewa na nahisi hata Mh mwenyewe atahusishwa katika kutolewa kwake
Mfumo wa utoaji pesa nyingi hivyo, lazima ikulu ifahamu, waziri wa fedha na mwanasheria mkuu wa serikali
 
Ni wiki hii tu kumefanyika mabadiliko ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, leo imeripotiwa kuna bilion 100 zimeyeyuka BOT.

Kuna gazeti limeripoti ngoja litafutwe.




4-1.jpg
 
!
!
scape goat....visingizio kibao. Hii ya majipu ishachuja. Tunataka viwanda Ajira Maisha nafuu Elimu bora Afya Miundombinu haya mapichapicha ya kuhamia Dodoma sijui BOT sijui ufala gani tumechoka.
mbona Yale mazingaombwe ya UKUTA hujasema..mkuu
 
Nategemea kusikia polis na vyombo vingine vya usalama vikijidhatiti kujua zilipo pesa hizo sawasawa na nguvu iliyotumika kuzuia ukuta
 
Acheni uwongo. Likwelile alikuwa naweka hizohela yeye kwenye kabati lake? Fedha za serikali bil 100 zina utaratibu mrefu wa kutolewa na nahisi hata Mh mwenyewe atahusishwa katika kutolewa kwake
Za escrow zilitokaje?
 
sioni katika swala kiuchunguzi linahitaji ushabiki uwe wa upande wowote....
 
Back
Top Bottom