Bilion 100 zapotea BOT baada ya Silvanus Likwellile kutemwa!

Bilion 100 zapotea BOT baada ya Silvanus Likwellile kutemwa!

Mkuu,bado unawaza kusoma ili usjiliwe tu? Utakufa njaa mjini, chukua hatua. Swala la kupata kazi serikalini huwa lipo lakini lisitufanye tubweteke na kuisubiri serikali ituajili. Ushauri ni kwamba,unapongoja ajira unayosema,usikae tu na kusubiri. Piga kazi ukiendelea kutafuta kazi,japo unaweza kujikuta kazi yako binafsi ikawa na kipato zaidi ya ile ya serikalini.
 
!
!
scape goat....visingizio kibao. Hii ya majipu ishachuja. Tunataka viwanda Ajira Maisha nafuu Elimu bora Afya Miundombinu haya mapichapicha ya kuhamia Dodoma sijui BOT sijui ufala gani tumechoka.

Duh wewe sasa unamjaribu Mkulu na yeye hajaribiwe mambo ya ajira,Majipu...... yakichuja tunaibua lingine la kubadilisha note haaa haaa.Uongozi unataka matumizi ya akili,weledi,ubunifu,uchapakazi,uadilifu na mikakati ya muda mrefu na mfupi.Uongozi si kazi ya mtu mmoja bali timu ya watu wengi wanaoelewana na kujua taifa linaelekea wapi.

Naiona serekali ya awamu ya tano ikikosa vitu vingi sijui ni bahati mbaya au ndio mipango yenyewe.Serekali ya matamko,kufukuzana kazi,kutoa kauli zinazokindana na katiba eg Mkuu wa wilaya kutangaza hali ya hatari katika wilaya yake,Mkuu wa Mkoa kutoa kibali kwa askari polisi kuwaadhibu watuhumiwa halafu yeye atajibu ni baadhi ya kauli zinazonichanganya na kuniacha na maswali mengi bila majibu.

Mungu ibariki Tanzania ya Mwl Nyerere inaelekea kukosa viongozi wenye maono,dira,mwelekeo......
 
Duh wewe sasa unamjaribu Mkulu na yeye hajaribiwe mambo ya ajira,Majipu...... yakichuja tunaibua lingine la kubadilisha note haaa haaa.Uongozi unataka matumizi ya akili,weledi,ubunifu,uchapakazi,uadilifu na mikakati ya muda mrefu na mfupi.Uongozi si kazi ya mtu mmoja bali timu ya watu wengi wanaoelewana na kujua taifa linaelekea wapi.

Naiona serekali ya awamu ya tano ikikosa vitu vingi sijui ni bahati mbaya au ndio mipango yenyewe.Serekali ya matamko,kufukuzana kazi,kutoa kauli zinazokindana na katiba eg Mkuu wa wilaya kutangaza hali ya hatari katika wilaya yake,Mkuu wa Mkoa kutoa kibali kwa askari polisi kuwaadhibu watuhumiwa halafu yeye atajibu ni baadhi ya kauli zinazonichanganya na kuniacha na maswali mengi bila majibu.

Mungu ibariki Tanzania ya Mwl Nyerere inaelekea kukosa viongozi wenye maono,dira,mwelekeo......


!
!
kila siku mapichapicha tu masinema sinema mpaka lini....sasa hivi atakuja na tamko la oktoba mosi
 
Magufuli amezungukwa na wapiga Dili....Hapo Mwigulu anahusika kabisa
 
!
!
scape goat....visingizio kibao. Hii ya majipu ishachuja. Tunataka viwanda Ajira Maisha nafuu Elimu bora Afya Miundombinu haya mapichapicha ya kuhamia Dodoma sijui BOT sijui ufala gani tumechoka.
Aya sasa maajabu, kufichuliwa wezi tena wa bil 100 mnachukia, mwingine anachukuliwa atua kwa kukwepa kodi zaidi ya 1.3 bilion nalo mnasema ni siasa. Alafu mnataka Tanzania ya Viwanda. Ivi tutafika kweli?
 
Yatesemwa mengi na mengi yataishia hewani kama ilivotokea kwa LUGUMI, ESCROW, TENDA YA NGUO ZA POLISI na mengine kadha wa kadha...
 
Back
Top Bottom