Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Bodi ya Utalii isiangalie TV tu, kuna njia zingine nafuu kama internet. Wanaweza wakaweka tangazo la video kwenye YOUTUBE pamoja na mitandao ya magazeti maarufu duniani kama New York Times, Washington Post, New York Post, Washington Times, The Guardians, The Jerusalem Post etc. Najua humo kwenye hayo matangazo ndo kuna milo ya fisadiz wengine, hivyo ni vizuri kila kiti kikawekwa wazi.